WanaJF habarini za leo!Ninaomba mwenye kujua huu ugonjwa wa kupasuka sehemu za mdomoni unatibiwaje naomba msaada!Mdomo unajichana na kutoa damu hasa kipindi hiki cha baridi!!!MSAADA TAFADHALI!!!
WanaJF habarini za leo!Ninaomba mwenye kujua huu ugonjwa wa kupasuka sehemu za mdomoni unatibiwaje naomba msaada!Mdomo unajichana na kutoa damu hasa kipindi hiki cha baridi!!!MSAADA TAFADHALI!!!
Lip balm. Quick/temporary remedy Tiba kuu Ongeza vitamins kwa kula matunda na mbogamboga
Vitamin C inahitajika waeza kutumia supplements au matunda jamii ya limao/lime. Mf. machungwa.
Lip balm. Quick/temporary remedy Tiba kuu Ongeza vitamins kwa kula matunda na mbogamboga
Vitamin C inahitajika waeza kutumia supplements au matunda jamii ya limao/lime. Mf. machungwa.