Nashukuru japhe Ed maana !!!Utapata tena vizuri kabisa ondoa shaka vuta subra.
Nilikua naomba kuuliza kwani wanaangalia vigezo ganiUtapata 100%
Kuanzia C tatu isiwe somo la ziada na kwenye combination uwe na point kuanzia 3 mpk 10 usiwe na F kati ya masomo hayo ya combiNilikua naomba kuuliza kwani wanaangalia vigezo gani
Asante mkubwaKuanzia C tatu isiwe somo la ziada na kwenye combination uwe na point kuanzia 3 mpk 10 usiwe na F kati ya masomo hayo ya combi
Maaana presha inapanda na kushukaNashukuru japhe Ed maana !!!
Utapata shule %100 ,,Samahano jamani mi nimefaulu kidato cha nne kwa division 3 ya point 22(kwanza)
Math -d
Eng-c
Chem-c
Hist-d
Kisw-c
Civ-c
Phy-c
Bio-c
Sasa wakubwa nlikuwa nauliza nitapata shule serikalini
Utapata shule %100 ,,
Ila sahau comb za sayansi kwa first selection,maana kwa fist wanatumia kigezo kisichokuwa rasmi Cha minimum Ni div2 ya point 20,ila kombi za Sanaa unapata bill shaka pia kwa sayans wanaweza kukuchagua kwa second selection
Mbona madogo mna hofu sana yaani unakuta mtu amefaulu kabisa lakini presha ipo juu Sjui waliofeli wapo katika hali gani kama waliofaulu tu hali zao ndo ziko hiviSamahano jamani mi nimefaulu kidato cha nne kwa division 3 ya point 22(kwanza)
Math -d
Eng-c
Chem-c
Hist-d
Kisw-c
Civ-c
Phy-c
Bio-c
Sasa wakubwa nlikuwa nauliza nitapata shule serikalini