Naomba niende moja kwa moja kwenye mada. Kumekuwa na kupanda kwa bundle za internet kwa zaidi ya mara mbili kwa bei iliyokuwepo awali.
Swali langu kuu ni kwamba gharama za uendeshaji kwenye mitandao ya simu zimepanda?? Nakama zimepanda nini kimesababisha?
Je, inamaana Mama haoini kuwa wananchi tuna umea kwa kupandishwa kwa gharama?
Mbona Mama amekaa kimya tu?
Hapa chini ni baadhi ya bei za manunuzi ya liyopo kwa sasa kutoka mtandao wa Halotel.
1. Halotel 4G
2. Halotel kifurushi cha mwezi
3. Halotel kifurushi cha wiki
Siku zote wanaanzaga kupandisha vifurushi Voda waje Tigo waje Airt alafu Haloteli ndo wanakuwaga wa mwishoo. Siku halotel wakipandisha ndo kelele utaziskia kila mahali.
Japo wao halotel ndo wananafuu bado
Hivi hakuna mbadala wa kupata internet bila kupitia haya makampuni ya simu, kwa nini wao tu ndio wawe internet provider? Tumewachoka kila mara kupunguza mabando wakati tunaihitaji sana huduma ya internet kufanya shughuli mbalimbali za kimaendeleo
Hivi hakuna mbadala wa kupata internet bila kupitia haya makampuni ya simu, kwa nini wao tu ndio wawe internet provider? Tumewachoka kila mara kupunguza mabando wakati tunaihitaji sana huduma ya internet kufanya shughuli mbalimbali za kimaendeleo
SUBIRINI mpaka KIPINDI CHA UCHAGUZI KIKIFIKA, TUTAWAPUNGUZIA KIDIGO (yaani tutafunika kombe), ILI MWANA HARAMU APITE, baada ya hapo mwendo mdundo mpaka akili iwaingie!
SUBIRINI mpaka KIPINDI CHA UCHAGUZI KIKIFIKA, TUTAWAPUNGUZIA KIDIGO (yaani tutafunika kombe), ILI MWANA HARAMU APITE, baada ya hapo mwendo mdundo mpaka akili iwaingie!