kuota ndoto kunasababishwa na nini? je kwanini MTU anaota ndoto halafu kitu alichokiota kinatokea na si mganga wa kienyej,je anayeleta taarifa kwenye ndoto ni nani na anajuaje kuna tukio litakalotokea,?
Kuna ndoto zinazotikana na mawazo na kuna ndoto huja inategemeana na ulivolala mfano mtu anaweza ota ndoto anakimbizwa halafu anashindwa kukimbia na kupiga kelele ,wengi wao unakuta alijikunja wakati alikuwa kalala
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.