Lakini na huyo mwanaume ni ***** kweli, inawezekanaje akasindwa kugundua hata writting za mke wake? kwa ninavyojua mimi writting au muunganikano wa sentensi za sms kuto kwa my wife lazima nijue au nigundue kitu flani then mimi ndo nigeandaa mtego. Huyo mwanaume ni ***** tu.