Nimepata habari ya kwamba kuna michepuo mipya kama tano imeongezwa, mtoa habari amekumbuka mbili nazo ni; PGE (Physics, Geograpraphy na Economics), CBM (Chemistry, Biology na Math.).....
Miongoni mwa shule zilizopendekezwa ni Galanosi, Ifunda Girls, Pugu, Tosamaganga n.k.
Michepuo iliyopoongezwa ni ya sayansi.
Nikipata michepuo yote na shule nitaongeza, pia kama unazo naomba uongeze.