nimevuta picha hiyo lafudhi ya kimakonde nimecheka sana haha eti leta swaga mwana .Kuna ndugu yangu huyo hanaga story yeye kazi yake kusema enhe!mambo mengine?unajibu ni poa anakwambia leta storyunamjib ah hakuna story anakwambia tena, mambo mengine vipi lakini?
Imebidi nimsevu MAMBO MENGINE
Mimi napenda sana kuangalia na kustream vitu live..bando hazina maisha kwenye simu yanguAitel ndo mkombozi wangu jaman 6000 kwa mwez data on
Sana yani unaweza kusema wanakaribia kuwa vichaaa hawana akili ya kujiongezaaaKuna jamaa alishanipigia usiku mkubwa sana hadi nikahisi kunaweza kuwa na tatizo kubwa that's why kapiga midnight.
Sasa wakati napokea simu..jamaa ananiambia "leta swagga mwana" kwa lafudhi ya kimakonde...Daah! Nikawaza huyu jamaa kanipigia this late night then anasema leta swaga tena? Nikamvumilia then nikamuuliza unasemaje? Akasema cheka yake ilitakq kuisha hivyo akaamua anipigie ili aimalizie!?
Nilikuwa namheshimu but nikavurumusha tusi then nikazima simu nikachapa mate hadi asubuhi.
Kuna watu wanakera sana.
Wafipa kama waha tu atakupa story la ziwa Tanganyika.mpaka ukomeNimekutana nayo kwa mfipa mmoja hivi kuna makabila yana tabu jamani jitu unaliambia Mimi tayari occupied lakini bado tu limekomaa daah hapo akipiga napokea sim naiacha chumbani mwenyew natoka zangu nje spendagi ujinga mim
Hana shida ntamuelewesha ucjal mi nakupenda lkn hutak kunielewa jmnUnataka ugomvi na mume wangu
Ndo Yale mtu ndio anakutongoza hata kukubaliwa bado ataanza jisemesha oohh nikutumie nauli uje Mara unakula kiasi gani kwa mwezi anajisemesha vitu wala havimuhusu
Mwingine atakwambia nimeshakuweka kwenye bajeti yangu ya mshahara kuanzia mwezi huu dadeki sipendi kauli ya "unakula sh ngapi kwa mwezi"Ndo Yale mtu ndio anakutongoza hata kukubaliwa bado ataanza jisemesha oohh nikutumie nauli uje Mara unakula kiasi gani kwa mwezi anajisemesha vitu wala havimuhusu
Hata kwenye huu uzi ukichunguza utamuona mmojaNimekutana nayo kwa mfipa mmoja hivi kuna makabila yana tabu jamani jitu unaliambia Mimi tayari occupied lakini bado tu limekomaa daah hapo akipiga napokea sim naiacha chumbani mwenyew natoka zangu nje spendagi ujinga mim
UNAJIKOSESHA BAHATI WWNdo maana nakuaga busy tu muda wote. Sitaki kuongea wala kuchatishana. Watu usowapenda wanakuaga ving'ang'anizi hao na kujipa nafasi wasokua nazo
Yani tena yeye anajua akishakutongoza ndo tayari amemaliza kazi na mke wangu utaitwa hawajui kama kuna kukubaliwa ndo mahusiano yaanze cjui wakojeWafipa kama waha tu atakupa story la ziwa Tanganyika.mpaka ukome
Airtel kwetu magumashi,huku halote kifurushi cha chuo natamba mi ndo mimi kama natembea mawinguni heheheheAitel ndo mkombozi wangu jaman 6000 kwa mwez data on
Bora kusema ya moyon tuu SasaKhaaaaaah
Ni moja wapo, yaani hamtaruka hiyoM pesaaaa