Jolie Jolie
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 7,406
- 13,791
Kwani bebe we hupatagi simu za mtu usiempenda?mpe polee
Kwani bebe we hupatagi simu za mtu usiempenda?mpe polee
Nisiempenda kivipi bby...yani nimchukie binadamu mwenzangu hny??Kwani bebe we hupatagi simu za mtu usiempenda?
Sio vizuri,tatizo ni kwamba mtu huyu anakuwa ameshaambiwa hapendwi lakini anakazana kweli kweli,na huwezi ichunia simu huku waiona mkuuKwani usipopokea inakuwaje?
Vp unampango wa Kuzaa??Ngoja nikanywe na soda kwa kuwa umenikumbusha utamu wa simba
Hahaha hata jiwe nae ni hvyo hvyo auwasukuma sasa utasikia
Unajuaaa Demiss mimi nakupendaga sana unanifanyaga mapigo ya moyo wangu yadundeee sana
Yani humchukii kwa chuki ila hupendi kuongea nae tu,labda anapiga sana story xa timu usioipenda,anakudai,anapiga story za wachawi au vyovyote vileNisiempenda kivipi bby...yani nimchukie binadamu mwenzangu hny??
kumbe vifurushi vya cheka bado vipo??? duuk kitambo sana kabla hata sijaanza kutumia simuUsiombe kupigiwa simu na muha pure from kigoma,akupende umkatae hehehee!!
Kila siku atajiunga cheka zogo ya 5000 kwa ajili ya kukupigisha story ya ziwa Tanganyika na jinsi hali ya hewa ilivyo kasulu
Huyu wa kwangu ni balaaa sijajibu sms zake sasa ni mwaka ila kila siku anapiga anatuma sms hakati tamaaaLabda kama umependa mwenyewe tu kuongea au kuchati. kwanza unaweza kuamua kutopokea simu au kutosoma sms zake. ikitokea bahati mbaya umepokea ni kumkatia simu tu, atasepa mwenyewe,
Sio siri hata mimi sipendi kongea na simu na mtu nisiyependezwa nae. nitatafuta mbinu yeyote mazungumgumzo yawe mafupi
Yeaah nna mpango wa kuzaa na hazard cfcVp unampango wa Kuzaa??
Kwani nayeye ni member wa humu...Huwa napata motoo mimi kiukweli
Hahahaaa. au wewe ndiye yule unaenisumbuaga kunipigia simu usiku wa manane nini?Acha uongo
Kabla ya kukuharibia siku, uwe unawaomba hela tuUkiwa nao wa5 wanaweza kukuharibia mood ya siku
Hizoo nishazipokea sana,,,huwa napokea halafu namwambia ntakutafuta inakua ndio imetoka hyoYani humchukii kwa chuki ila hupendi kuongea nae tu,labda anapiga sana story xa timu usioipenda,anakudai,anapiga story za wachawi au vyovyote vile
Anakwambia "mimi nakupenda lolo,moyo wangu umekudondokea(hapa kwenye kudondokea unakandamiza)wasukuma sasa utasikia
Unajuaaa Demiss mimi nakupendaga sana unanifanyaga mapigo ya moyo wangu yadundeee sana