Nimekupa namba ya simu pia nimekupa email naona kimya...lete details zenye kueleweka...unapotaka kununua gari aina ya rav 4 unasema hivi..natafuta rav 4 model 2005,automatic,maroon colour,etc yaani unaweka details za kueleweka sasa wewe unasema unataka blackberry na nokia nashindwa kukuelewa