Uaminifu ndo changamoto inayokumba wauzaji wa kibongoMfumo wa manunuzi mitandaoni sio rafiki hapa Bongo, changamoto hii tunaweza kuifanya fursa.
Ni kweli..na gharama pia huwa ni kubwaa..za kusafirisha..labda ukiwa na mzigo mkubwa..ila ukiwa na mzigo mdogo duh..utaona bora ukiache tu.tatizo hasa ni kweye ufikishaji wa bidhaa kwa mteja