Wandani tv
Member
- Feb 22, 2019
- 7
- 9
Kikundi cha sanaa ya maigizo cha living stone Kinachoundwa na wasanii wa ujiji,kibirizi,na katonga, mkoani kigoma kipo hatiani kufungiwa, kutokana na Mkuu wa kundi hilo ramadhani abduli,(JB)kutoliendesha kwa kanuni na tarabu zinazo tolewa na basata, msemaji wa kikundi hicho bwana, rajabu kitabu,(RAMSAO) alifafanua baada ya mwana habari wetu Wandani tv, kumuhoji,, unajua Mkuu nimtu asiyetaka kushauriwa kunafilam mpakaleo ipobasata haijapewa darja hilohajiulizi kabla ya cosota haijaanzishwa, amekuwa mtu wa,,weachatu,,, mbalina ubabaishaji wa msemaji wa kikundi Wandani tv tunatafuta ukweli kutoka kwa Mkuu huyo juhudi zinaendelea,,