Usipende kufunua tupu za
wanawake ovyo, nyingine zina nuksi, wanakuachia! Wengine wanachukua
nyota zako, unakuwa wa ivyo ivyo tu, unaona wenzako wanaprosper wewe upo
palepale!
Usipende kufunua tupu za wanawake ovyo, nyingine zina nuksi, wanakuachia! Wengine wanachukua nyota zako, unakuwa wa ivyo ivyo tu, unaona wenzako wanaprosper wewe upo palepale!
Mkuu hata ukiomba kwa mungu lazima uangalie mazingira ukijichanganya tu kazi bure nipo saizi job nimetest kuimbisha mfanyakazi mwenzangu nimekubaliwa yaani wanawake ni pasua kichwa[/QUOTE]
Kwa hiyo huyo mfanyakazi mwenzio anatosha kuwakilisha wanawake?
Wewe na yeye nyote wale wale kasoro majina tu