Yaani kuna wanawake hawakatai ukiomba tu hata ulikuwa unajaribu utasikia tu unaambiwa ni wewe tu na akija tena mwingine anakubaliwa hawariziki miili yao walishaitoa sadaka kama yesu msalabani
Mkuu hata ukiomba kwa mungu lazima uangalie mazingira ukijichanganya tu kazi bure nipo saizi job nimetest kuimbisha mfanyakazi mwenzangu nimekubaliwa yaani wanawake ni pasua kichwa
Sijazidi mkuuu kuwa ombaomba ila yeye ndio kaanza eti ananitania baby lini unanitoa out wakati anajua ninamke kabisa kama yeye ndio hana akili nimemwambia alipie ghalama za out
Sijazidi mkuuu kuwa ombaomba ila yeye ndio kaanza eti ananitania baby lini unanitoa out wakati anajua ninamke kabisa kama yeye ndio hana akili nimemwambia alipie ghalama za out
kweli nasadiki maneno ya da snowhite wanaume wamebaki wachache sasa unatuambie sisi tufanye nini? kama unaona si vizuri si umkanye hapohapo? ukisikia unafiki ndio huo.
Sijazidi mkuuu kuwa
ombaomba ila yeye ndio kaanza eti ananitania baby lini unanitoa out
wakati anajua ninamke kabisa kama yeye ndio hana akili nimemwambia
alipie ghalama za out
Sijazidi mkuuu kuwa
ombaomba ila yeye ndio kaanza eti ananitania baby lini unanitoa out
wakati anajua ninamke kabisa kama yeye ndio hana akili nimemwambia
alipie ghalama za out
Yaani kuna wanawake hawakatai ukiomba tu hata ulikuwa unajaribu utasikia tu unaambiwa ni wewe tu na akija tena mwingine anakubaliwa hawariziki miili yao walishaitoa sadaka kama yesu msalabani