jembelamkono
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 2,733
- 2,016
Ati miaka elekezi.hahahaha..hiiiiii....mkuu pole....ila kwa malalamiko hayo unaonekana kabisa sio ka saizi kako mkuu......huyo umri wake unamruhusu kuchagua hivyo...we msubirie akifika ile miaka elekezi...kwa mdomo wake mwenyewe atakuambia, "cha muhimu mapenzi tuu"
Nitumie hebuBaadae nitakutumia in advance
Happy birthday to you.... I wish for you all the best ...nasubiri uziNitumie hebu
Hahaha hahaha hahaha hahaha hahahaHappy birthday to you.... I wish for you all the best ...nasubiri uzi
Genius are born on this monthHahaha hahaha hahaha hahaha hahaha
Thank you lovely kaka
And am one of them!Genius are born on this month
Me tooAnd am one of them!
Aisee na nyie mngekuwa mnaoa wanawake kama mama zenu kuanzia maumbo hadi tabia basi ingekuwa vizuri zaidi***** zao.
Wengine wanataka high life na uwe na hela,gari na nyumba wakati baba yake kajenga wakati anastaafu,
wazazi wake hata baskelu hawana,
maza fanta kabisa.
Sasa jamani wanaume mnaposemaga mnataka kuoa wanawake wenye sura nzuri na makalio makubwa na nyie mnakuwaga nazo hizo sifa au? KhaaMwingine utamsikia anasema "Mi nataka kuolewa na mwanaume mwenye hela zake tena awe handsome" wakati chenyewe kanamiliki pochi na wigi tu
Happy for you!Me too
Unakuta kademu kako very selective kwa wanaume eti "Nyikitaka kuonyewa mwanyaume nyazima awe na umbo presantable" ooooh mara sitaki kabisa mwenye kitambi mimi, Nataka mwanaume mwenye kifua chake""
"Mwanyaume Awe tall flani, aweze kunibeba vizuri na asiwe mweusi, "
Ukikaangalia kadem kenyewe kana tumbo kubwa kuliko tako halafu kana "kithembe" kanaongea kama kameng'ata matope... Hela hakana, tako hakana, Ni maziwa tu na tumbo kama birika.
Halafu vingine vimeona Kakiwa na tako bas kanaona kanamilika GSM mall.. Ni kujibinua tu kila saa na kutembea havijavaa chupi.. Kanagegedwa na kuachwa.. Mpaka papuchi inakuwa brown.!!
Ngoja ninywe maji kidogo sio kwa hili povu.
Baadae kidogo
Mleta mada naamini uko presentable, huna kitambi wewe ni mrefu hayo maneno ya hako ka dem hayakuhusu au vip?