Mshenzi wa tabia huyo Rafiki yako,na hana malezi kwao ivi mkeo unaelalanae na kumka nae na nimama wa mtoto wako unawezaje kumwambia pumba kama hizo? afadhali huyo mwanamke mungu kampa subra mpaka sasa yupo anaimba kuondoka lakini yupo,angenikuta Mtanga mie mbona saahizi ningekua Sahare nakula mihogo kwa uonooo...
kama ujamalizia hapo..... asingemtania mbele yako? badae labda ila na unakulaje mpaka uvimbe vimbe hovyo......ha ha ha ha yani nimetafakari jamani huyu mnyama anashape mbaya ningejiua loh....... jamaa hakutenda haki kabisa
View attachment 197418View attachment 197420View attachment 197421
Kunenepa ni kuridhika siyo kula, ukila kwa masimango hunenepi ng'o.
Dada angu ww laskazon mm usimmaind sana huyo jamaa ninachoona mm hapo ni kwmb huyo kaka hua wanataniana na mkewe ila kwa siku hiyo alipitiwa tu hakucheck mazingira au Kama alicheck hakumfikiria mwenzie kama hatopenda hiyo situation lakini sio kama hampendi ndo maana Mpk leo shemeji analilia kuondoka ila kaka kamzuia!!
Kwahiyo nawewe kama Kiboko ama?Siwezi kuwa kimbau mbau
Kwa kweli watuacheeee!!! Na siyo wote wenye kupenda kula wapo vipotabo na wanakula kuliko,wengine ni kina bonge nwepesi.
Kwahiyo nawewe kama Kiboko ama?
Samahani lakini :hail:
Ni shida!ndo hawa wa miaka 23 wanataka kuoa.. wavulana wanataka kuingia kwenye ndoa