ZNM
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 1,219
- 1,280
Jamani naomba kujuzwa kwa kuwa hili nimekuwa nalitafakari na nimekuwa sipati jibu, mimi najishughulisha na shughuli za uchomaji matofari, kazi hii naimudu vema nikiifanya ucku kwa kuwa upepo unakuwa mtulivu kuliko mchana, sasa najiuliza kuna uhusiano gani kitaalamu?