Hahahahah...mbona unatisha watu Mkuu:::::::::::::::::::::::
weka hapa jina lako halisi na la mama yako uone kivumbi na jasho,
:::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::
Top grade is 33degtee.
inayoruhusu kupotea ghafla,kujigawanya yaani ndani kwako unakuwepo na uwanja wa taifa kutizama ball unakuwepo pia.
Shukrani Mkuu....level 3 ambazo ni;
1.Rajo
2.Abramelin
3.(Nimesahau)
Reference(Kitabu cha "MKUU WA WACHAWI SASA AME MPOKEA YESU")
3.Uchawi mweusiShukrani Mkuu....
Ngoja nianze kupitia mdogo mdg....maisha ni kupanua akili
3.Uchawi mweusi
kwani unataka kuwa Mchawi?
Ok MkuuNgoja waje kukupa muongozo...
What happen is!Hahahahah...mbona unatisha watu Mkuu
Kumbuka kuna watu wana kinga za asili(natural cure) isee...yaani ukirusha kombora tuu tayari iron dome yake inadefence ....then akipiga upako wa kutosha linarudi kwako
Ndo maana watu wenye asili hizi za kutokulogeka + kutokutolewa kafara wana very powerful spiritual kwenye nafsi zao.
Usipomsoma mtu madhara yanarudi kwako...au ukitamka mauti tuu tayari inarudi kwako
Alianza yeye kwa kukata jina langu ilhali niliongoza Kura za maoni bbaada ya kuongea vzr sana na wajumbe...unatafuta ugomvi Mkuu
Mkuu Kama unacho hicho kitabu naomba ukiwekeUchawi ni Imani yako Mkuu, ukiamini inakuwa, Imani ina nguvu, mimi nimeshawaambia watu mara zaidi ya 10 kuwa kama uchawi upo wauthibitishe hata kwangu, waniroge wawezavyo wakitaka mate yangu, kucha, kipande cha nguo au nywele waje kuchukua.
Uchawi ungekuwepo wakoloni wasingeweza kutesa babu zetu kiasi cha kuwafanya mababu wanne wa kiafrika wambebe mtawala mmoja mweupe kutoka kigoma mpaka Kilimanjaro kulima na kupalilia mkonge.
Uchawi ungekuwepo wachezaji wa kinigeria wangekuwa wanashinda kombe la dunia kila wanaposhiriki, Simba ingefika rank ya Barcelona na zaidi.
Lakini USHINDI na hata UTAJIRI unategemea zaidi JUHUDI, BIDII na MAANDALIZI.
Sanasana Uchawi ni story za kutungwa zinazosambazwa na watu tu kutoka sehemu moja mpaka nyingine na kuaminiwa.
Soma kitabu kinaitwa
'' Faith can change your World'' cha Lister Sumrall, utaelewa sana hii kitu.
Sina kwny PDF ila ingia tu google ukidownloadMkuu Kama unacho hicho kitabu naomba ukiweke
Hahahhahah..Alianza yeye kwa kukata jina langu ilhali niliongoza Kura za maoni bbaada ya kuongea vzr sana na wajumbe
Nashukuru kwa kuongeza teknolojia,lakini mara nyingi ubaya uenda kwa haraka kwa aliekutendea bayaOk,kuna pahala tunapotezana...
Kuna wenye kinga za asili ambazo ni pure + wacha Mungu balaa
Alafu kuna kinga ambazo ni artificial...sasa hizi artificial ni kweli zinawezwa kusambaritishwa.
Hawa jamaa natural wana iron dome mbayo ni balaa hata mjipange mtu 10 hamna chochote..hata wakiguswa huwa wanaweza kweli kupata msukosuko then wanajirudi tena.
Sijui kama tunapatana Chief
Kuna topics flani flani nimejaribu kuzipitia nikakutana na haya maneno pia...ya Jamaa flani alibandika humu ndani
Makashindye wote huwa hawa logeki na Wana karama kubwa Sana katika mambo ya kiroho mfano kutabiri mambo, ku repel nguvu za Uchawi .Yani hata kama umetupiwa jini on the sport halafu ukawa karibu na kashindye na huyo kashindye akahusika katika harakati za kukuombea au kupambana na hiyo nguvu iliyo kuvamia awe anajua au awe hajui basi kuwa na uhakika kwamba jini huyo ataondoka akiwa defeated. Haijalishi ata omba Kwa mrengo upi iwe Kwa jina la Yesu au vyovyote vile.
Yani Kwa mfano umetupiwa jini limekukaba halafu ukasema " Wanangu Mimi nawaacha" then hapo karibu kukawa na kashindye akasema " NOOOO!!!" basi be sure that MTU huyo hatokufa.
Makashindye Wana karama na nguvu kubwa Sana za kiroho.
Pia Wana aminika kuwa na nyota Kali Sana.
Kingine makashindye wana machale Sana. Yani kashindye akihisi kitu kibaya kitatokea basi Jua kitatokea kweli.
Hawa kina kashindye ndio watu ambao ukimuudhi halafu akakuchukia sana basi it's either utapata mtihani mkubwa Sana katika maisha yako au utakufa kabisa. NI kama vile Kuna malaika ambao husikiliza wanacho kiwaza na kukifanyia kazi.
Akina kashindye wakitamka neno huwa NI vigumu Sana Neno Hilo kupita Bila kutokea.
Ukimnyooshea kidole kashindye Kwa mfano ukimtamkia mauti basi hiyo mauti inarudi kwako.
Ukimdhulumu kashindye wafwaa.
If u wish them death the wish will come back to you.
Kiufupi akina kashindye NI watu wenye karama kubwa Sana ya kiroho.
Huwezi kumroga kashindye. Akina kashindye hawalogeki.
KASHINDYE NI NANI? Kashindye NI mtu aliezaliwa Kwa kutanguliza makalio.
Kashindye kama kashindye Hawezi kulogeka Wala Hawezi kutolewa kafara Wala kuchukuliwa msukule
Tupo pamoja Mkuu..tupo hapa kwa elimu BossNashukuru kwa kuongeza teknolojia,lakini mara nyingi ubaya uenda kwa haraka kwa aliekutendea baya
#NAFANYA UTAFITI WA HAYA KWA KINA.KAMA MPENDA ELIMU MBALIMBALI...
Tumsubiri
Ni kweli kabisa nikipata mda nitaleta hapa uchawi wa ZABURI, zina nguvu za ajabu kupita kiasi,kwani kila zaburi ina malaika wake na jina lake na isomwe mara ngapi? muda gani ili kuleta tokeo fulani.Tupo pamoja Mkuu..tupo hapa kwa elimu Boss
Ukipata pakukosoa au nyama za kuongezea kosoa/ongezea Mkuu usihofu mkuu leta hapa tupate elimu zaidi Chief
Muhimu ni kupanua mawazo + kufungua dunia ili tuyafahamu yalipo ndani yake
@Mshana Jr
Kwahiyo Hawa mnaowatag ndio wachawi wenyew ama?!
Ok sijaingia kiundani kuhusu ili...Ni kweli kabisa nikipata mda nitaleta hapa uchawi wa ZABURI, zina nguvu za ajabu kupita kiasi,kwani kila zaburi ina malaika wake na jina lake na isomwe mara ngapi? muda gani ili kuleta tokeo fulani.