Nyox official
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 597
- 451
wakuu,polen kwa mchaka mchaka wa weeknd,nataka kuulza tu kwa wale wanaopatkana Mwanza-Igoma,kuna siri gani kwnye hii bar mpya iliyofunguliwa juz almarufu kama Taiwan?kwan wao mziki n mpak ngoma tisa,mbaya zaid ipo kwny makaz ya watu yaan full makelele na liveband zao