Wazo zuri Ila linahtaji upembuz yakinifu hasa kwenye uaminifu na kulinda mitaji ya watu , sambamba na hlo niwepo na wazo la mradi wenye Tija , hapa wizara pia zinahusika kuainisha maeneo ya uwekezaji. Tatizo viongozi wetu wameunga unga Elimu, hawana lolote Zaid ya kuangalia Nani anapata wapi kiurahsi ili tumgonge nyundo.