Lihakanga
JF-Expert Member
- Dec 17, 2016
- 4,829
- 6,376
Ule upigaji uliopitia majina kama DES na nunua bidhaa, sasa umekuja kwa jina la nunua mnyama.
Niko na jamaa yangu hapa ananihimiza kununua mnyama mtandaoni kisha kulishia anenepe.
Yaani ukinunua bata kwa sh 50,000/=, eti kila siku utapata sh 2000 kwa muda miezi mitatu.
Ninawaza tu, hii hela nitapewa bure na nani? 2000x30 = 60,000/=. Hii ina maana nitapata sh 130,000/= bure ndani ya miezi mitatu.
Wajuvi wa mambo njooni tujengane. Mimi ninahisi ni walewale des.
Niko na jamaa yangu hapa ananihimiza kununua mnyama mtandaoni kisha kulishia anenepe.
Yaani ukinunua bata kwa sh 50,000/=, eti kila siku utapata sh 2000 kwa muda miezi mitatu.
Ninawaza tu, hii hela nitapewa bure na nani? 2000x30 = 60,000/=. Hii ina maana nitapata sh 130,000/= bure ndani ya miezi mitatu.
Wajuvi wa mambo njooni tujengane. Mimi ninahisi ni walewale des.