Kuna nini Tigo???

Pata GB 4 kwa shilingi 2,000/=
ndani ya siku 7.
Achana na university offers.
 
Me nakelwa na tatizo la Internet wakati kifurushi kipo ila siwezi ku download video wala kufungua email
 
Tigo buana wameridhika na wateja, wanao wengi wao na Voda na airtel hawako tofauto wote ovyo.

HALOTEL buana!!!
SMILE buana!!! Raha mustarehe.
 
Utakuta jitu linalolalamika hata sio mwanachuo
 
Tigo wameboa sana kwenye university offers. Yaani wamekata nusu nzima ya bando halafu kwa bei ileile... any way may be ndo wanajaza
 
Acha kuwadanganya wenzio.
Halotel kuna nini.?mtandao umekuwa mzito.na MB hazikai.
Inategemea na mahali ulipo mkuu! Kwani upo wapi? Halotel nina mwaka nayo sasa na sijang'amua hayo matatizo yako unayosema..si wengine staff hah hah stuka wewe mjinga
 
Inategemea na mahali ulipo mkuu! Kwani upo wapi? Halotel nina mwaka nayo sasa na sijang'amua hayo matatizo yako unayosema..si wengine staff hah hah stuka wewe mjinga
Nimekusoma poa,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…