Josaje Mtui
JF-Expert Member
- Oct 1, 2016
- 2,468
- 2,181
Sawa mkuuMkuu vilaza wapo tu mbona, unaposoma comments za watu ndo nikagundua hilo, mm huwa na akiba sana ya maneno na sipendi kugeneralize mambo mkuu ila vilaza wapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jarbu kuonja kidogo utatupa mrejeshoHabari wadau,
Kama kichwa kinavohoji, nimekuwa nikijiuliza kinyesi cha mwanadamu kina nini? Mazingira ya vijijini ambapo watu hujisaidia maporini ni kawaida kukuta mbwa au nguruwe wakisaka vinyesi vya binadamu. Binafsi nimeshuhudia Mara nyingi kwa wanyama tajwa yaani kitimoto na mbwa wakifurahia kinyesi. Wataalam wa mifugo Wanasema nguruwe akila kinyesi cha binadamu ni rahisi kupata minyoo aina ya Taenia solium. "Cyst" au mayai ya minyoo hiyo husafiri kwenye mfumo na kutengeneza vipele vyeupe kwenye nyama. Nguruwe ni carrier wa vijidudu hivyo kwa sababu kiafya havimdhuru ila hiyo nyama ni hatari kwa binadamu. Madhara mojawapo ni ugonjwa hatari wa kifafa ambapo katika stage za juu hautibiki.
Baada ya ufafanuzi huo naomba wataalamu waniambie kwa nini hawa wanyama tajwa hula kinyesi cha binadamu na c ya wanyama wengine? Huwezi kumkuta mbwa au nguruwe akila kinyesi cha ng'ombe, mbuzi, mbwa na wanyama wengineo. Kuna madini lishe gani katika kinyesi cha binadamu?
Nawasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wanajitahidi kuja na hoja dhaifu 🙂.Nguruwe haleti epilepsy.. wasabato masalia mtapata tabu sana na kitimoto..Nasema mtapata tabu kwelikweli!
Yeye kauliza kwanini kinyesi kinaliwa na wanyama aliowataja badala ya wanyama hao kula vinyesi vya wanyama wengine?Ulikuwa unalenga nguruwe au kinyesi cha binadam? maana nguruwe ndo umemuongelea sana
kama ulikuwa na nia ya kutufanya tusile nguruwe mkuu ushindwe na ulegee
Naaam mkuu hilo ndo hasa swali langu, ahsante kwa kunielewa.Yeye kauliza kwanini kinyesi kinaliwa na wanyama aliowataja badala ya wanyama hao kula vinyesi vya wanyama wengine?
Kunanini katika kinyesi cha binadamu? Nadhani ndiyo swali lake la msingi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenijibua big upJibu ni ndiyo kwani hata kuku wa kienyeji nao ni wanufaika wa kinyesi cha binadamu.
Aaah taratibu mkuu tunakula bhanaTena akikuta mnyaji alikuwa kala makande au mahindi ya kuchemshwa yaani anafurahia sana
Mm mwenyewe sijui kinyesi cha binadamu kina nini maana hata ukikikanyaga lazima uchechemee na hakina miba ni ngoja waje
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli ww ulielewa kule darasa la sita..Kasome sayansi ya darasa la sita juu ya mfumo wa utoaji takamwili. Kinyesi siyo takamwili bali ni mabaki ya chakula ambacho hakikumeng'enywa vyema hivyo bado kina virutubisho vinavyowafaa wanyama wengineo!
Zilianza mada za kujadili eneo la kutolea maviii sasa hivi yanajadiliwa maviiii yenyewe
Uko sahihi kabisa, mfumo wa mmeng'enyo wa chakula wa binadamu ni mdhaifu kulinganisha na wanyama wengine hivyo kupelekea kinyesi cha binadamu kuwa na virutubisho vingi kuliko vilivyochukuliwa na mwili.Kama ndo hivyo mkuu kwa nini, wasile ya wanyama wengine? Ina maana binadamu ndo ana mfumo dhaifu wa kutofyonza virutubisho vyote?
Sent using Jamii Forums mobile app