samoramsouth
Senior Member
- Jan 16, 2011
- 191
- 30
Kwa nini UKAWA mnachukia kila jema analofanya Raisi!!
Kwakweli msijidanganye, kwasasa huwezi kumshawishi mwananchi wa kawaida kwamba Raisi Magufuli hafai akakuelewa, atakuona wewe Ni fisadi tu ambaye unaisoma namba!![/quo
Mwananchi wa kawaida ndiye yupi huyo. Anafananaje.? Kumbe kuna mwananchi wa kawaida? Haya tutajie na aina nyingine ya wananchi basi