Kuna mlipuko huko Tehran

Kuna mlipuko huko Tehran

Adiosamigo

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2013
Posts
10,607
Reaction score
13,993
Inaripotiwa mlipuko katika nyumba moja huko Tehran inayokaliwa na maafisa wa Kikosi cha Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu cha Iran (IRGC).

 
Ndipo alipojificha Ayatollah? au wanatafuta kisingizio kwa Israel kumbe wamemuua wenyewe au alidanja kitambo so wanaandaa mazingira kama Jiwe alivyoandaliwa.

Yule General Spy wa Israel utasikia kapona bila majeraha maana vifo vya wenzake lazima awe maeneo ya karibu
 
Back
Top Bottom