Mimi Huwa naamini hivyo Zanzibar ni mkoa wa wavuvi ,,wakina Mwinyi kwao ni bara.FULL STOP.Hivi Tanganyika iko wapi? Mbona Zanzibar tunaiona. Rais wa Tanganyika yuko wapi? Mbona wa Zanzibar tunamjua. Bendera ya Tanganyika iko wapi? Mbona ya Zanzibar ipo. Na katiba je ya Tanganyika maana ya Zanzibar ipo.
Nadhani kuna mahala Nyerere alikosea hesabu zake au alitaka sifa kwamba yeye ni mtu mwema sana hata akafanya harakaharaka akaingizwa mkenge na karume bila kujijua.
Alichotakiwa kufanya Nyerere ni kumwambia karume kua baada ya mapinduzi haya, tunaifuta Zanzibar na historia yake na itakua mkoa wa Tanganyika na ww bwana karume utakua waziri mkuu wa Tanganyika na mimi ni Rais na watanganyika watakua huru kutembelea popote ktk nchi yao na Zanzibar kuanzia sasa itaitwa Singida au n.k. Kama hilo lingefanyika leo hii kelele zisingekuepo.
Tanganyika aliingia kwenye ndoa na mwanamke asiyempenda . Hivyo Tanganyika anaingia kwenye gharama zisizo za lazima kulinda muungano usiokuwa na tija kwake yeye (Tanganyika).Hivi Tanganyika iko wapi? Mbona Zanzibar tunaiona. Rais wa Tanganyika yuko wapi? Mbona wa Zanzibar tunamjua. Bendera ya Tanganyika iko wapi? Mbona ya Zanzibar ipo. Na katiba je ya Tanganyika maana ya Zanzibar ipo.
Nadhani kuna mahala Nyerere alikosea hesabu zake au alitaka sifa kwamba yeye ni mtu mwema sana hata akafanya harakaharaka akaingizwa mkenge na karume bila kujijua.
Alichotakiwa kufanya Nyerere ni kumwambia karume kua baada ya mapinduzi haya, tunaifuta Zanzibar na historia yake na itakua mkoa wa Tanganyika na ww bwana karume utakua waziri mkuu wa Tanganyika na mimi ni Rais na watanganyika watakua huru kutembelea popote ktk nchi yao na Zanzibar kuanzia sasa itaitwa Singida au n.k. Kama hilo lingefanyika leo hii kelele zisingekuepo.
Too lake to cryHivi Tanganyika iko wapi? Mbona Zanzibar tunaiona. Rais wa Tanganyika yuko wapi? Mbona wa Zanzibar tunamjua. Bendera ya Tanganyika iko wapi? Mbona ya Zanzibar ipo. Na katiba je ya Tanganyika maana ya Zanzibar ipo.
Nadhani kuna mahala Nyerere alikosea hesabu zake au alitaka sifa kwamba yeye ni mtu mwema sana hata akafanya harakaharaka akaingizwa mkenge na karume bila kujijua.
Alichotakiwa kufanya Nyerere ni kumwambia karume kua baada ya mapinduzi haya, tunaifuta Zanzibar na historia yake na itakua mkoa wa Tanganyika na ww bwana karume utakua waziri mkuu wa Tanganyika na mimi ni Rais na watanganyika watakua huru kutembelea popote ktk nchi yao na Zanzibar kuanzia sasa itaitwa Singida au n.k. Kama hilo lingefanyika leo hii kelele zisingekuepo.
Elimu ya history inahitajika hapa kujua chanzo cha muungano, pia Elimu ya civics inahitajika kuwafundisha watu muungano wetu ni muungano wa aina gani!.Hivi Tanganyika iko wapi? Mbona Zanzibar tunaiona. Rais wa Tanganyika yuko wapi? Mbona wa Zanzibar tunamjua. Bendera ya Tanganyika iko wapi? Mbona ya Zanzibar ipo. Na katiba je ya Tanganyika maana ya Zanzibar ipo.
Nadhani kuna mahala Nyerere alikosea hesabu zake au alitaka sifa kwamba yeye ni mtu mwema sana hata akafanya harakaharaka akaingizwa mkenge na karume bila kujijua.
Alichotakiwa kufanya Nyerere ni kumwambia karume kua baada ya mapinduzi haya, tunaifuta Zanzibar na historia yake na itakua mkoa wa Tanganyika na ww bwana karume utakua waziri mkuu wa Tanganyika na mimi ni Rais na watanganyika watakua huru kutembelea popote ktk nchi yao na Zanzibar kuanzia sasa itaitwa Singida au n.k. Kama hilo lingefanyika leo hii kelele zisingekuepo.
Ni serikali tatu au serikali moja....hizi nyingine ni utapeliElimu ya history inahitajika hapa kujua chanzo cha muungano, pia Elimu ya civics inahitajika kuwafundisha watu muungano wetu ni muungano wa aina gani!.
P
Ya nini yote hayo ?????Alichotakiwa kufanya Nyerere ni kumwambia karume kua baada ya mapinduzi haya, tunaifuta Zanzibar na historia yake na itakua mkoa wa Tanganyika na ww bwana karume utakua waziri mkuu wa Tanganyika na mimi ni Rais na watanganyika watakua huru kutembelea popote ktk nchi yao na Zanzibar kuanzia sasa itaitwa Singida au n.k. Kama hilo lingefanyika leo hii kelele zisingekuepo.