Kuna kuolewa hapa kweli?

Sasa nifanyeje? Nilikosea tok mwanzo. Sitaki tena huu mchezo na nikimwambia wala haelewi kabisa. Yaani staki tenaaa, nimechoka haswaa
 


Kwani hilo jibaba linapenda kula kitimoto??--- inasemekana walaji wa kitimoto ni hatari sana wa hayo mambo.
 
We mpe tu Kama kawaida,si ulimzoesha mwenyewe alafu unalalamika
 
Tatizo ni likatili. Na ww ikawaje unadate na mtu katili. Si ndio nilisikiaga mnapendaga watu mabandidu?
 
Mwanamke mwenye akili timamu hawezi kumruhusu mwanaume amwingilie matakoni.

Mwanaume mwenye akili timamu hawezi kumwingilia mpenzi wake matakoni.

Unajua namaanisha nini hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…