Kuna dalili ya utapeli

Kuna dalili ya utapeli

EKijana

Member
Joined
Jul 15, 2014
Posts
13
Reaction score
1
Habari za usiku ndugu zangu.

Kuna kazi niliomba majibu yametoka kuwa nime kuwa shortlisted ila nijaze fomu flani wamenituma kisha niambatanishe na General Intelligence aptitude (GIA) test certificate. Wamenitumia website mbili.

Pia wamesema naweza fanya kwa accredited invigilator wengine. Nimetafuta nikakuta kuna NGO inaitwa Maxholme ipo Kenya nao wanatoa hiyo test kwa 70$. Nimewasiliana na ndg mmoja anaitwa James D. Munuve akanipatia test hiyo ila sijalipa bado ili wanipatie cheti hicho kesho.

Naomba msaada na ushauri wenu anayefahamu au aliyekutana na mambo kama haya.
 
Habari za usiku ndugu zangu.

Kuna kazi niliomba majibu yametoka kuwa nime kuwa shortlisted ila nijaze fomu flani wamenituma kisha niambatanishe na General Intelligence aptitude (GIA) test certificate. Wamenitumia website mbili.

Pia wamesema naweza fanya kwa accredited invigilator wengine. Nimetafuta nikakuta kuna NGO inaitwa Maxholme ipo Kenya nao wanatoa hiyo test kwa 70$. Nimewasiliana na ndg mmoja anaitwa James D. Munuve akanipatia test hiyo ila sijalipa bado ili wanipatie cheti hicho kesho.

Naomba msaada na ushauri wenu anayefahamu au aliyekutana na mambo kama haya.

Conmen,Run, run faster!
 
Wandugu jamani naombeni msaada nipo njia panda!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!:dizzy:
 
Ni mtandao wa wezi usijaribu aliingia chaka mdogo wangu tukagharamia pesa baadae walitupa hata line zao zilokuwa hazipatikani kabisa
 
Nashukuru Wakuu kwani hata sasa hawajnijulisha chochote na nilipowauliza wanitumie sample ya certificate zao na report ya matokeo jamaa alikuwa akisisitiza pesa zaidi!!
Duuu hadi wizi siku hizi kidigatli!!!!
 
ha ha h ah aha haa utapigwa kweli hapo!!!
think twice young boy!!:A S 41:
 
Back
Top Bottom