Gaspar_sammy
New Member
- Jul 16, 2017
- 2
- 2
Guys naombenii tusaidiane kuhusu info ya somo la computer. Je ni kuna combination yoyote ya masomo ya A-level inayohusisha somo la computer?? Kama ipo ni inapatikana shule zipi nchini Tanzania? Au vituo gani vya kufanyia PC inapatikana ? Naomba msaada wenu...