kumpenda mtu kazo

wizddallu

Member
Joined
Oct 7, 2012
Posts
22
Reaction score
2
Cku moja unapigiwa cm na mwanamke umpendae kwa dhat kuwa anataka mkeshe wote den mnaenda klabu jamaa anataka no za yule mwanamke ww ukajidai kuwa ujui alafu pale baada ya kutoa no wanaanza kuchat na yule mtu bdae anakuja nduguyake nakumwambia wasepe kuna kaka yao anakuja den unamsindikiza fasta anachukua pikpiki kwakua ni ucku sana alafu kesho unamchek anakujibu broken yan ata za kuku zina nafuu utachukua uhamuz gan na yule ndo ulimweka chaguo lako la mwisho adi ndoa naye uliona analitilia maanan msaidie mwenzangu hapa anashida yake iyo wana chit chat
 
Sijaelewa hata kidogo.
Atakayeelewa anielekeze we Arushaone umeelewa mpaka umejibu hata hujui???
 
Last edited by a moderator:
Ili mada yako ieleweke,inabidi msomaji arudie mara tatu.Back to topic,umesema huyo dada ni chaguo lako la mwisho kwanini anakuumiza kichwa?chaguo la mwisho anakuumiza kichwa?mchukue yule wa chaguo la kwanza ndugu.
 
amu nadhani si kama hujaelewa, ila ni haileweki alichokusudia kutufikishia wasomaji wa thread yake....
 
Last edited by a moderator:
Nikadhani mimi tu ndio mwenye kichwa cha panzi, kumbe tupo wengi...He he he!.

mie sasa nimemuelewa.
Dem kamuambia kuwa wakeshe.kidume kikajipinda na kwenda na kidemu chake club.
Kufika kule kuna mdau ana mapene akamwambia jamaa naomba namba ya huyo dem uliyekuja nae.
Jamaa akasema ye hana.
Pedeshee akamuomba mdada namba yake ya simu mdada hana hiyana akatoa.
Wakaanza kuchat usiku huo club.(Kumbuka mda huo mjamaa yupo hapohapo anashuhudia tu loo).
Bwana eee nimeshschoka kutafsiri mie...endelea mwenyewe na kichwa chako cha panzi utaelewa
 
Kwenye mapenzi mengi huwa yanatokea.
Jipe muda uone mnaendeleaje!
 
Huyo dada kwako ni chaguo lako lakini bahati mbaya wewe si chaguo kwake....chapa lapa faster kama kitenesi!
 
Avumilie, ndio ukubwa. Na kusaritiwa ni sehemu ndogo tu ya binadamu yenye kusababisha maumivu makali ndani ya nafsi. JAMAA AKABIDHI MAISHA YAKE KWA MUUMBA
 
Ujui kusoma hata picha hauoni duuuh!!
 

u pipo are crez in here aaaaaaaahhaaaaaa aendelee mwenyewe sio???
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…