watu wengine bwana, huyo Mary Shoo alikuwa na maslahi gani kwa taifa letu? tunatakiwa kumkumbuka kama nani? unataka kutulazimisha tumkumbuke mtu aliyekuwa hana elimu ambae anaweka shs bilioni 1 ndani badala ya bank?
saa zingine mkiondokewa na mahawara zenu msituletee hapa,
watu wengine bwana, huyo Mary Shoo alikuwa na maslahi gani kwa taifa letu? tunatakiwa kumkumbuka kama nani? unataka kutulazimisha tumkumbuke mtu aliyekuwa hana elimu ambae anaweka shs bilioni 1 ndani badala ya bank?
saa zingine mkiondokewa na mahawara zenu msituletee hapa,
watu wengine bwana, huyo Mary Shoo alikuwa na maslahi gani kwa taifa letu? tunatakiwa kumkumbuka kama nani? unataka kutulazimisha tumkumbuke mtu aliyekuwa hana elimu ambae anaweka shs bilioni 1 ndani badala ya bank?
saa zingine mkiondokewa na mahawara zenu msituletee hapa,
watu wengine bwana, huyo Mary Shoo alikuwa na maslahi gani kwa taifa letu? tunatakiwa kumkumbuka kama nani? unataka kutulazimisha tumkumbuke mtu aliyekuwa hana elimu ambae anaweka shs bilioni 1 ndani badala ya bank?
saa zingine mkiondokewa na mahawara zenu msituletee hapa,[/QUOTE
Kukujibu swali lako huyu mama atakumbukwa kama "MAMA" na mtoto wake "Rafiki" kwa marafiki zake na
'ndugu' kwa ngugu zake and thats what matters.As for you ,you will just have to remember her as the woman who had money at home , the kind of money you will never have.Unamwonea wivu mpaka marehemu? ushindwe kabisa!
Eti hana elimu .. ni nani alikuambia kwenda shule ndio kufanikiwa kwenye maisha huh?wewe labda umeenda shule lakini ni ile mijitu inayofikiri darasa ni kila kitu.andalia matajiri duniani ni wandapi waligraduate collage?or even high school?
She is a hope for those who cant or couldnt afford kwenda shule... they can still make something for themselves or should i say "millions"
KAMA HUNA KITU KIZURI CHA KUSEMA ,USISEME CHOCHOTE
watu wengine bwana, huyo Mary Shoo alikuwa na maslahi gani kwa taifa letu? tunatakiwa kumkumbuka kama nani? unataka kutulazimisha tumkumbuke mtu aliyekuwa hana elimu ambae anaweka shs bilioni 1 ndani badala ya bank?
saa zingine mkiondokewa na mahawara zenu msituletee hapa,[/QUOTE
Ujumbe huu ni wa maana sana kwa wale wanaouelewa. unaonesha jinsi jamii yetu ilivyoharibiwa na watu wenye kukosa utu na kuthamini pesa zaidi kuliko maisha ya binadamu. Pia mama huyu ni mfano mzuri wa kuigwa na wananchi wengi ambao hawakufanikiwa kusoma sana ili wakiamini na kujua kuwa wanaweza kufanikiwa bila kuwa na shahada za masomo ya juu. R.I.P. mama shoo.
Kukujibu swali lako huyu mama atakumbukwa kama "MAMA" na mtoto wake "Rafiki" kwa marafiki zake na
'ndugu' kwa ngugu zake and thats what matters.As for you ,you will just have to remember her as the woman who had money at home , the kind of money you will never have.Unamwonea wivu mpaka marehemu? ushindwe kabisa!
Eti hana elimu .. ni nani alikuambia kwenda shule ndio kufanikiwa kwenye maisha huh?wewe labda umeenda shule lakini ni ile mijitu inayofikiri darasa ni kila kitu.andalia matajiri duniani ni wandapi waligraduate collage?or even high school?
She is a hope for those who cant or couldnt afford kwenda shule... they can still make something for themselves or should i say "millions"
sasa na wewe, mtu mwenye mafanikio anaweka bilioni nyumbani kweli?? au kulikua na nini behind it?alikuwa mfano wa kuigwa kuwa alikuwa mfanyabiashara mwanamke aliyefanikiwa kwa jitihada zake hasa ikizingatiwa sio rahisi kwa tanzania ya leo mwanamke kufanikiwa kwa kiasi kikubwa kama chake
Kuna mv mmoja hapa JF ana signature inasema ...ficha upumbavu wako... INAONYESHA HUJAMUELEWA KABISAwatu wengine bwana, huyo Mary Shoo alikuwa na maslahi gani kwa taifa letu? tunatakiwa kumkumbuka kama nani? unataka kutulazimisha tumkumbuke mtu aliyekuwa hana elimu ambae anaweka shs bilioni 1 ndani badala ya bank?
saa zingine mkiondokewa na mahawara zenu msituletee hapa,
alikuwa mfano wa kuigwa kuwa alikuwa mfanyabiashara mwanamke aliyefanikiwa kwa jitihada zake hasa ikizingatiwa sio rahisi kwa tanzania ya leo mwanamke kufanikiwa kwa kiasi kikubwa kama chake
watu wengine bwana, huyo Mary Shoo alikuwa na maslahi gani kwa taifa letu? tunatakiwa kumkumbuka kama nani? unataka kutulazimisha tumkumbuke mtu aliyekuwa hana elimu ambae anaweka shs bilioni 1 ndani badala ya bank?
saa zingine mkiondokewa na mahawara zenu msituletee hapa,
nlisikirika nlivoskia alivoibiwa hakwenda kuripoti kituo polisi badala yake alilala ndani mpaka mauti yalipomkuta na chaajabu aliishi peke yake kwenye mjumba na mlinzi tu,mchagga huyu hakuzikwa kwao na uwezo ulikuwako najiuliza maswali lakini jibu spati mazingira ya mama huyu yalivyokuwa