mtwa mkulu JF-Expert Member Joined Sep 11, 2013 Posts 8,585 Reaction score 11,268 Jun 24, 2023 #1 Maandamano makubwa mjini Nchi hii ngumu sana
Nzwangendaba JF-Expert Member Joined Nov 9, 2019 Posts 518 Reaction score 722 Jun 24, 2023 #2 Je hao wataachwa, hawatapigwa virungu kweli?
S Sir luta Senior Member Joined Nov 28, 2022 Posts 175 Reaction score 245 Jun 24, 2023 #3 mtwa mkulu said: View attachment 2667158 Maandamano makubwa mjini Nchi hii ngumu sana Click to expand... Haifinguki
mtwa mkulu said: View attachment 2667158 Maandamano makubwa mjini Nchi hii ngumu sana Click to expand... Haifinguki
mtwa mkulu JF-Expert Member Joined Sep 11, 2013 Posts 8,585 Reaction score 11,268 Jun 24, 2023 Thread starter #4 Nzwangendaba said: Je hao wataachwa, hawatapigwa virungu kweli? Click to expand... Lazima waachwe na vikundi vya hamasa hapo mjini vitatakiwa kushiriki. Mwigulu gulugulu atakodi boda boda hata buku kusupport maabdamano ya kishindo. Januari atatoa jiko la gesi kwa kila muandamanaji. Bila shaka malipo ya buku 7 yatakiwepo pia
Nzwangendaba said: Je hao wataachwa, hawatapigwa virungu kweli? Click to expand... Lazima waachwe na vikundi vya hamasa hapo mjini vitatakiwa kushiriki. Mwigulu gulugulu atakodi boda boda hata buku kusupport maabdamano ya kishindo. Januari atatoa jiko la gesi kwa kila muandamanaji. Bila shaka malipo ya buku 7 yatakiwepo pia
denooJ JF-Expert Member Joined Mar 31, 2020 Posts 18,487 Reaction score 68,281 Jun 24, 2023 #6 Muandaaji ni Kuhani?! Afadhali, kumbe wameshajua mwekezaji ameingiwa hofu, hilo ni jambo jema sana.
FRANCIS DA DON JF-Expert Member Joined Sep 4, 2013 Posts 40,796 Reaction score 46,913 Jun 24, 2023 #7
denooJ JF-Expert Member Joined Mar 31, 2020 Posts 18,487 Reaction score 68,281 Jun 24, 2023 #8 FRANCIS DA DON said: View attachment 2667217 Click to expand... Safari ya kuitoa bure Tanganyika yetu hapa ndipo ilipoanzia. Mjinga akaamini kuna vya bure duniani, leo amejificha kwa aibu haonekani.
FRANCIS DA DON said: View attachment 2667217 Click to expand... Safari ya kuitoa bure Tanganyika yetu hapa ndipo ilipoanzia. Mjinga akaamini kuna vya bure duniani, leo amejificha kwa aibu haonekani.