Jumanne ya tarehe 15 tunamshukuru mungu kwa wale tulio wazima WA afya na wale wenye shida mbalimbali tunamuomba mungu awaponye ili waweze kurudi Katika majukumu yao ya kila siku. Kumekucha twendeni tukapambane kutafuta maisha na kujenga taifa letu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app