ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,146
- 7,676
Hoply melisa lwitiko.mimi na mwanangu tuliokota barua ya dada mkuu,aisee tuliishi kama wafalme,tuliitumia ile barua kumuendesha tunavyotaka sisi yule dada,hatukuw tukifanya kazi shule na alituletea tulichokitaka...melisa ***** nakukumbukaga sana
Nimeandika barua kwa juliet hapo niko stnd 4 halaf nikaisahau mfukoni.Ilikua ijumaa na nikapata safar ya kikanisa kwahiyo mama akawa na jukum la kutulia nguo kwakua sipo ili jumatatu ziwe safik.Dooh nilikoma nilivyorud nilikua bakora kutosha sana maana maza kaifuma barua ...