kumbu kumbu mjarabu


  • Umeshawahi Kupanda Kwacha Dar Kwenda Iringa?
    Enzi hizo kituo Mnazi Mmoja, nauli shilingi elfu nne. Basi linaondoka saa mbili usiku



 
Hakika, nimesafiri sana na KWACHA. Je unakumbuka na Skandali za hiyo kampuni! Tumetoka mbali sana. Asnte kwa kunikumbusha ya kale.
 
Duuuh! kitambo KWACHA ya kutoka DAR-KYELA, Watu wote wakitoka Dar, ilikuwa lazima waje na mkate na nazi.
 
Samahani hii ilikuwa ni mwaka gani?? Hayo ma kwacha
 
Samahani hii ilikuwa ni mwaka gani?? Hayo ma kwacha
Miaka ya themanini mpaka tisini mwanzoni.Mmoja wa waliokuwa wakurugenzi ni huyu mzee mwenye Peacock hotel"Mfugale" pia alikuwepo Masasi (R.I.P) na Chalamila (R.I.P).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…