kumbe wametoka mbali

kumbe wametoka mbali

englibertm

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2009
Posts
9,252
Reaction score
6,209
1001291_383694708398024_1077883470_n.jpg
 
Dah mapenzi ya kweli bana yana raha yake sanaaaa!
 
daah safi sana mkuu ..inaonekana hapo ni Kenya nini? Mbona hizo nambari za gari hapo ni za kikenya? ..kuna kigari KQA 103..enzi hizo alikuwa anawatembelea kama kawaida..sasa imebaki historia.
 
Sasa wanataka nini tena......si huyo hapo aliwatembelea hata kabla yetu........
 
Sasa wanataka nini tena......si huyo hapo aliwatembelea hata kabla yetu........

wanataka aende akiwa Rais

Kipindi kile alienda akiwa Serengeti boys ,future haijajulikana itakuwaje🙂
 
Tujadili kwamba wametoka mbali au kwa sababu ni Mkuu wa nchi then kila lake ni debatable!!!!!
 
Back
Top Bottom