Mateja wawili wako juu gorofani wakiendeleza sniff, cocktail na kujidunga huku wakiwa wanaingalia man'dhari (city view) ya jiji la Mwanza kw chini wao wakiwa juu issue ikawa :-
Teja 1 :- Nambie askari wangu unauckiliziaje mzg wa leo? Uko poa au wenga?
Teja 2 :- Mazee k2 kipo shule! Au vipi bwana, ki2 mzuka mjeshi wng, alafu huku juu, hamna wenga cjui Pongo cjui nani, stimu hairuki shwari tu!
Teja 1 : Sasa mazee unajua mi plani yng nna mahesabu makali sn
Teja 2:- Mahesabu gn mzee mwenyewe?
Teja 1 :- Si nataka nikanunue haka ka'jiji ka'mwanza, alafu hv kakiwa kanauzwa kanaweza kua sh'ngapi ?
Kilichofata Teja 2 akamshushia mwenzie bonge ya kofi ! Kofi la ukwl
Teja 1 : Sasa unanipigia nini? Yani mi nakuuliza bei unanipiga!
Teja 2 :- Unauliza bei kwani umeambiwa haka ka'Mwanza mi nakauza! Haka mi ckauzi lbd nikipata matatizo ndy ntafikiria!
Teja 1 :- Nambie askari wangu unauckiliziaje mzg wa leo? Uko poa au wenga?
Teja 2 :- Mazee k2 kipo shule! Au vipi bwana, ki2 mzuka mjeshi wng, alafu huku juu, hamna wenga cjui Pongo cjui nani, stimu hairuki shwari tu!
Teja 1 : Sasa mazee unajua mi plani yng nna mahesabu makali sn
Teja 2:- Mahesabu gn mzee mwenyewe?
Teja 1 :- Si nataka nikanunue haka ka'jiji ka'mwanza, alafu hv kakiwa kanauzwa kanaweza kua sh'ngapi ?
Kilichofata Teja 2 akamshushia mwenzie bonge ya kofi ! Kofi la ukwl
Teja 1 : Sasa unanipigia nini? Yani mi nakuuliza bei unanipiga!
Teja 2 :- Unauliza bei kwani umeambiwa haka ka'Mwanza mi nakauza! Haka mi ckauzi lbd nikipata matatizo ndy ntafikiria!