Ramadhani Salumu
Member
- Feb 21, 2015
- 28
- 41
Huyu Chenge mbona ana dharau hivi
Nitoe sikitiko langu waziwazi..
Nchi hii tumefika pahala tumechokana, tumedharauliana, tumegoma kuheshimiana. haiwezekani Mwenzetu, Mtanzania mwenzetu huyu, mtu mmoja atunyee, atutusi, tunyamanze kimya kama mazuzu. Mtu kashiba fedha za wizi, alidiriki kusema fedha zetu ni vijisenti, leo anasema yeye ni joka mwenye makengeza, msakafedha kwa wananchi wake.
Embu wajitokeze hao wananchi anaodai ndio anaokwiba fedha kwa ajili yao, watuambie hayo majitapo ya mwizi asiyekamatwa yamewafaa nini..!
Nitoe sikitiko langu waziwazi..
Nchi hii tumefika pahala tumechokana, tumedharauliana, tumegoma kuheshimiana. haiwezekani Mwenzetu, Mtanzania mwenzetu huyu, mtu mmoja atunyee, atutusi, tunyamanze kimya kama mazuzu. Mtu kashiba fedha za wizi, alidiriki kusema fedha zetu ni vijisenti, leo anasema yeye ni joka mwenye makengeza, msakafedha kwa wananchi wake.
Embu wajitokeze hao wananchi anaodai ndio anaokwiba fedha kwa ajili yao, watuambie hayo majitapo ya mwizi asiyekamatwa yamewafaa nini..!