maishapopote
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 3,277
- 5,514
We we we! ishia hapo hapo :bolt: OHIO, KININDONI, SINZA MAKABURINI, AFRICA SANA, BUGURUNI SHELI, AMANA, KONA YA MABIBO,....
hahahaah umesahau na kwenye massage centers zote mkuu
We we we! ishia hapo hapo :bolt: OHIO, KININDONI, SINZA MAKABURINI, AFRICA SANA, BUGURUNI SHELI, AMANA, KONA YA MABIBO,....
Umalaya ni Biashara Kongwe kabisa Duniani!
hahahaah umesahau na kwenye massage centers zote mkuu
Asante kwa elimu... najua wamenufaika wengi tu!!Jaribu kukaa pale aidha na taxi drivers uzoeane nao au wale shoe-shiners ili usome vizuri mazingira ya pale, WAHUSIKA WAKUU NI WALE WALINZI WA HOTEL NDIO WACHEZESHAJI. Hawapitii mlango wa mbele bali ni nyuma kama vile watu wanaenda parking/kuosha magari. Nakwambia haya coz ofisi zetu ni next to the building (ex-embassy hotel).
nililolisema lipo sana tu... na nishalishudia mara kadhaa na wala si kudhalilisha watu... nimiomba elimu tu kwa alotumbukiza hoja ya Ohio ya mchana...
wengi waliopo hapa Ohio/Ghana streets ni wadada wa IFM & CBE, biashara hii mbona hata mchana ipo mitaa hii ila ni kwa STAHA.
yani uwezi kuamin kandri siku zinavozidi kwenda wasichana wanaojiuza maeneo ya ohio inazidi kuongeka tena biashara inaanza mapema tu mida ya sa moja na nusu hivi ..chakushangaza unamkuta ameka alafu ameachia sehemu nyeti zake wazi kbs ili kila mteja haone kweli ukimwi utaisha kwa namna hii maana kama biashara ingekuwa haiyendi wasinge ongezeka wana JF mnalionaje hili...
Huko acha kabisa na kwenye hizi Barbershop ndio usiseme kabisa
hahahaah umesahau na kwenye massage centers zote mkuu
Huko acha kabisa na kwenye hizi Barbershop ndio usiseme kabisa
Jamani Biashara hii ni nzuri sana mbona hahitaji mtaji wowote anapata mapesa kibao! Anaweza pia akafanya kwa malengo akakusanya kwa muda fulani kisha akabadilisha biashara akawa na biashara ya maana sana. hebu tuwe positive kwa mambo mengine tusipinge tuuuuu mpaka basi hapana. Kisu ni kizuri hutumika kukatia mboga na matumizi mengine lakini ukikitumia vibaya huua! Moto ni mzuri tunapikia, tunaota (sisi wa Iringa na Mbeya) na matumizi mengine kibao lakini huchoma nyumba zetu, misitu na huua pia kwa hivyo wakati mwingine tuwe positive kwenye hii biashara wajikinge vyema na magonjwa ni biashara nzuri tu tena wateja wake sio walala hoi bali ni vibopa can you imagine?
Ki ukweli kabisa ukimwi wa Tanzania ni wa kujitakia zaidi kuliko inavyodhaniwa. Kama askari anaweza kuwaona wasichana wanaojiuza na akawaacha waendelee kujiuza au awakamate halafu wampe hela na awaachie ujue tatizo ni kubwa na hivyo tutakwisha. JAMBO MOJA NAOMBA MJUE NI KUWA OHIO IPO KARIBU MITA 500 TU TOKA WHITE HOUSE YETU LAKINI BAYA ZAIDI NI KUWA OHIO IPO MITA 50 TU KUTOKA MAKAO MAKUU YA POLISI TANZANIA! Tutakwisha kwa ujinga wetu.
Red: Ndugu...kuna biashara isiyo na myaji... Unakumbuka Maneno ya Rais wetu wa awamu fulani alosema kuhusu wanawake...UCHUMI WAO WAME....?Jamani Biashara hii ni nzuri sana mbona hahitaji mtaji wowote anapata mapesa kibao! Anaweza pia akafanya kwa malengo akakusanya kwa muda fulani kisha akabadilisha biashara akawa na biashara ya maana sana. hebu tuwe positive kwa mambo mengine tusipinge tuuuuu mpaka basi hapana. Kisu ni kizuri hutumika kukatia mboga na matumizi mengine lakini ukikitumia vibaya huua! Moto ni mzuri tunapikia, tunaota (sisi wa Iringa na Mbeya) na matumizi mengine kibao lakini huchoma nyumba zetu, misitu na huua pia kwa hivyo wakati mwingine tuwe positive kwenye hii biashara wajikinge vyema na magonjwa ni biashara nzuri tu tena wateja wake sio walala hoi bali ni vibopa can you imagine?