Baija Bolobi
JF-Expert Member
- Feb 25, 2009
- 1,093
- 1,726
USHAURI WA BURE KWA WATANZANIA:(Wewe ni mtu wa wapi mwenzetu?) ninajiuliza muda wa kukaa na ku-manufacture ----- mnautoa wapi?data ndo nini huo ni upambu na am confident to say wote wanaouamini huo uchafu ni wamp--umb--avu...hatuwezi endelea kama tutakalia majungu...jifunze kushindana na mtu si kwa kumsingizia unyarwanda nasema hivo kwa kuwa nina mifano Mingi sana....Tanzania nzima haitaki kuona mtu anafanikiwa,anafanya wonders....utasikia huyo si MTZ....nani kasema ili uwe MTZ lazima uwe mjinga?nenda kamuulize Jenerali ULIMWENGU aliyehudumu katika nafasi mbalimbali za serikali kuu katika TZ na baadaye katika africa....wakati ulipofika akaitwa Mnyarwanda kisa hakuwa na sifa ya utanzania in this case ujinga...
Nimelala chumba kimoja na chakushemeire (MZEE WA BIBLE),nimesoma naye darasa moja na zaidi tumesali pamoja zile sala binafsi hasa sala ile iliyokutwa katika kaburi la Yesu ambayo alinipatia mwenyewe.....
Ni mzaliwa wa Bushangaro miaka ya 1980-85 bila kuzingatia ni hospital gani hasa mama yake alienda kujifungua,hakuwahi kufika ngara hadi mwaka 2001 tulipoenda TYCS,mtu anauhuru wa kuzaliwa sehemu yoyote hapa duniani...mf mimi nilizaliwa Frankfurt ujerumani lakini hainifanyi kuwa mjerumani... (Unatushawishi kwa sababu Chakushemeire alizaliwa Rwanda na kukulia Tanzania, basi ni mtanzania kama ulivyozaliwa Ujerumani) kwa hili nahoji uelewa wa mtoa mada.....(pamoja na jazba zako, uelewa wa mtoa mada upo vizuri)
.......MH Chakushemeire ni mnyambo kiasi cha kutohitaji mke wake kumuongezea unyambo.....tumezoea wivu wa watz
.......tengenezeni hoja ya kumshinda na si kumpakazia ujinga....
........cheti cha kuzaliwa; amon ana haki zote za kupata hicho cheti just mwaka 2011 maana ni asilimia 5 tu ya watz hasa wa wilaya ya karagwe wenye vyeti vya kuzaliwa
........kama anastahili kutengeneza bunge la katiba apewe tu nafasi acheni siasa uchwala.....
........mto mada hawezi akawa na akili nzuri hasa pale anapotaja sababu ya Mh.Amon kutoendelea katika mfumo wa upadri....uchaguzi wa kutoendelea na upadri hauwezi kumfanya mtu mnyarwanda...huna uwezo wa kufikiria
........hamna hoja zaidi mnasambaza chuki za kijinga na hazitawasaidia sana,,,
HAKUNA NINACHOWEZA KUPOST HAPA KWENYE THREAD YAKO KWA KUWA SINA UTAMADUNI WA KUONGEA NA VICHAA,WAPUMBAVU,WAJINGA na uncouths kama wewe.....tafuta njia nyingine ya kudefeat chakushemeire na si kwa kumpaka unyarwanda/////,....nadhani wanyarwanda wanapaswa kuwa proud maana kila mwenye kufanya wonders huitwa mnyarwanda .....humuwezi hata kidogo mzee wa bible
Mkuu madai mazito lakini wewe umekutana naye seminary watu wanasema kaja Tanzania ana miaka 11 seminarini huwezi kuwepo Kwa umri huo.That is the age anafanya kazi parokiani.Sasa unabeba mzigo mzito kwa kusema hayo.Kwa kuwa ni mkatoliki basi parokiani kwake kuna taarifa za kuzaliwa na kubatizwa ukweli utajulikana kupitia Kwa baba na mama yake na kanisani kuna taarifa za kuzaliwa kwake.
Huu sasa ni ubaguzi. Umemsahau WENJE!
Ukweli kuna tatizo kubwa sana la jinsi ya kusaili watanzania kwa ajili ya vitambulisho. Kwangu nadhani NIDA wanakosea kutumia uajiriwa serikalini kama moja ya hakikisho lisilo na shaka la mtu kuwa Mtanzania. Nachukua mfumo uliopo wa utawala toka ngazi ya juu ya kiutawala mpaka kaya, ambao upo, japo kwa bahati mbaya umechukuliwa kuwa wa kisiasa badala ya serikali. Ukianza kwa mjumbe wa nyumba kumi hadi mkoani, ni rahisi kabisa kwa mtu kutambuliwa kuwa kwanza ni mzaliwa wa eneo hilo maana wazazi watafahamika. Na hapo ndio maana ya sera ya vijiji itumike japo tuliiponda. Wenzetu Kenya unatambuliwa kwa chief au subchief wako, Rwanda na Burundi kupitia Burgemeister. Mfumo uliopo sasa ni kokoro na unahitaji kufumuliwa na kuboreshwa ili kweli mtu ajulikane kama ni mtanzania si tu kwa kusema kiswahili vizuri au lugha ya eneo. Ndio maana Mafinga sasa kumevamiwa na wageni na wamemilikishwa ardhi, baada ya muda watoto wetu watamiliki nini? Ni jukumu letu sisi wa leo kulinda na kujenga nchi kwa vizazi vijavyo. Kuna wakati nikiwa nje nilikuwa na marafiki zangu wazee wasio kuwa na watoto. Walitetea sera ya nchi yao kutoruhusu wageni kupewa kazi, kwa sababu wanazitunza kwa ajili ya 'watoto wao' baadaye. Hilo ndio fundisho kwetu, watoto wasiwe wa viuno vyetu tu.
Kuhusu huyo kiongozi wa wanafunzi ni swala tu la kufanya uhakiki wa taarifa zake, ushabiki haufai. Mimi natoka mikoa ya mpakani, nilipojiunga form one shule ya serikali ilipasa baba yangu akathibitishe uraia wake kwa DC japo alikuwa mwajiriwa wa serikali!! Sasa tumeingiza uwenzetu, tukaona ni ubaguzi, utaratibu huu ukafutwa badala ya kuboreshwa na kuhusisha nchi nzima madhara yake ndio haya. CCM waliwahi kuwa na mgeni ndani ya sekretariati!!! Angalizo uhakiki usifanywe kwa jazba bali haki, na watoto wengi wa raia wa kujiandikisha waelimishwe kuwa uraia wa wazazi wao haurithishwi!! inabidi nao wakifika miaka 18 waukane ule wa wazazi wao au wabakie wageni wakazi. Vyama vya siasa pia itabidi vihakiki uraia wa wanachama wao!
Mkuu mbona nilieleza tayari? Cheki
Primary kasoma kule kule Nyakakika P/school. Nadhani umenielewa mkuu, acha VIKWAZO bwana!!!!
Wanaomjua waseme ni kijiji alichotoka though kuna mdau amesema amesoma Nyakakika Primary School, kwa kijijini mtu ni rahisi kumgundua katoka wapi kwa kumuuliza maswali mawili matatu maana mie mzururaji nilishawahi fika maeneo hayo sikukaa sana kama miezi 8 nikitokea Kayanga kuna watu nilikuwa nawafahamu kuanzia maeneo ya Ahakishaka, Nyakaiga, Kijumbura, Kafunjo mpaka Chamchuzi tulipokuwa tunanunua Primus, sasa kama amezaliwa huko ni easy kumjua maana ukitaja jina watu wa huko wanamjua.============H
Unless anayeongea ni CHAKUSHEMEILE mwenyewe na si Genekai, nina sababu nzito ya kukataa ufafanuzi wako.
Naandika nikiwa Nyakaiga Bushangaro. Chaku kama anavyofahamika hapa, alikuja akiwa mtu mzima akitokea Katoke Seminary wakati wa likizo zake akiwa Frateli. Hapa hakuna anayejua alizaliwa wapi maana wakati huo kuna watu wengi walikuwa wanakuja kutoka Ngara na Biharamulo kujiunga na MKAMILISHANO hapa Bushangaro. Narudia tena, Chakushemeile hakuzaliwa hapa Bushangaro. Kama anataka uraia ajiunge na CCM hili tatizo lilatiasha kirahisi.
Inasikitisha jinsi watanzania walivyowabaguzi na wanafiki. Hivi ni kosa mtu kuwa nchi ya ugenini?
Kwa uzoefu wangu mdogo hapa JF ikiwa pamoja na michango kadhaa iliyokuwa ikitolewa wakati wa "High tension" ya Rwanda na TZ, uzoefu wa kuishi na watu hawa miaka mingi ughaibuni+historia ya matamshi ya viongozi wa jirani yetu, lugha hii ni nadra sana kutumiwa na mtanzania "pure" kwenye Jukwaa hili la JF. Bila shaka mwenyewe anajijua uhalisia wake. Aghalabu atakuwa ana uhusiano japo kidogo wa huko kama siyo wote.
wakwanza lage aikifatiwa na mungai wote waondolewedu kwa kweli tanzania ni shamba la bibi, kila mjukuu anastahili kuvuna chake.hoja za mchungaji mtikila kwamba kagame ameingiza wanyarwanda 35,000 nadhani serikali yetu imeamini kwamba alichosema mtikila kilikuwa ni cha kweli.
Wosia wangu kwa serikali ni kwamba ifanye kila linalowezekana kuwaondoa wahamiaji haramu wa kila kabila kuna wasomali kibao hapa dar es salaam inasubiri nini kuwatimua, je inasubiri vitisho vya rais wa somalia ndipo ichukue hatua? Kuna raia wa kenya pale mafinga wamejimilikisha ardhi kubwa kinyume cha sheria nao waondolewe.
Tanzania bila mamluki inawezekana.
Aisee..imekaa vizuri sana... Halafu wakiingia kwenye system wanabebana hadi inatia kinyaa. Hakika tanzania ni shamba la bibi, hali hii lazima ikome.Ruzibiza
Mbona matusi tena ndugu yangu.
Kuwa mnyarwanda siyo tusi na wala siyo jinai.
Jinai ni kuukana uraia wako, jinai ni kutaka kushiriki bunge katika nchi ya kigeni.
Kunitukana mimi hakusaidii kitu.
Nimekwambia namfahamu sana Chaku kuliko wewe labda kama wewe ndiye Chaku mwenyewe anayejibizana nami. Hapa Bushangaro, Karagwe siyo kwenu. "Kwenu" ulisema ni Ngara. Rector wa Ntungamo Pre-seminary amefika mpaka kijiji ulichodai unazaliwa wakasema siyo kwenu bali ulikuja na wazazi kupalilia magumu na vibarua, wakakuacha na kurudi Rwanda. Ukalelewa na masista na baadaye kuingia seminary ya Katoke.
Kanisa lisingeweza kukuruhusu kuendelea na upadre ukiwa umedanganya kuhusu historia yako hata kama kanisa halina mipaka ya kisiasa. Unabishi nini wakati wazazi wako wameishafika kutoka Rwanda na kukutembelea mara mbili?
Leo unakana Unyarwanda, kesho ukipewa cheo na Kagame utakana Utanzania kama walivyofanya wenzako akina Patrick.
Ruzibiza punguza jazba, jibu hoja na ama tetea ndugu yako kwa hoja na ama lugha ya kiungwana tu, after-all tuachie Operation Kimbunga ifanye kazi yake, haionei mtu, huna haja ya kuumwa kichwa kwa ajili ya Chakushemeire, kama ni Mtz atabaki Mtz, na kama ni Kagame, atabaki Kagame.....relax big boy......penye bluu pia panahusika
Wanaotimuliwa sio raia. Kwa nini unamwaga machozi ya mamba mkuu? Kama wako raia wachache walioathirika bila shaka haki itatendeka, lakini zoezi ni halali na linatakiwa kuwa la kudumu.Nahofia sana mateso wanayopata watz wenzetu wanaopelekwa ugenini kwa kuambiwa sio raia kwasababu tu ya chuki na tofauti za kisiasa! Ni manyanyaso ambayo huwezi kueleza hapa!
Mkuu, kwanza sipendi kuongelea watu bali ISSUES cos that's what consists of big brains.
Nimeamua kuchangia hapa hasa kwakuwa issue siyo MTU bali URAIA wa TZ..
Kama anayeongelewa hapa ni huyu AMON CHAKUSHEMEILE ninayemfahamu basi mleta mada naweza kumwita MZUSHI. Kwa ufupi nimemfahamu AMON CHAKUSHEMEILE tangu akiwa mtoto mdogo na ni kwakuwa nilikuwa mbele yake SANA katika SEMINARY
Alizaliwa BUSHANGARO - Karagwe miaka kadhaa ilopita. Na SI Ngara kama mleta mada alivyosema. Pia alizaliwa katika hospitali ya NYAKAIGA kule kule BUSHANGARO kama nilivyoelezwa na source ya uhakika na si BUKOBA
Alisoma O- Level ktk seminary ya St Charles Lwanga Katoke Sem tangu Pre form One hadi form four. Alifaulu vizuri. Aliitwa MZEE WA BIBLE kwa vile aliikariri biblia toka MWANZO hadi UFUNUO.
Baada ya O-Level alijiunga na RUBYA Seminary ADVANCED na akamerge kwenye HGK. Baadaye alikwenda Chabalisa formation house na NTUNGAMO Major Seminary akasoma Philosophy for TWO yrs. Then aliamua kuacha mtiririko wa masomo kwa ajili ya maisha ya UPADRE.
Alifundisha kwa muda ktk Seminary ya Katoke kabla ya kujiunga na Mzumbe University aliko hadi sasa. Na naambiwa ni Rais wa Serikali ya wanafunzi
OMBI: No research no right to speak. Tusilete habari za kuchafuana kwasababu tu tunataka nafasi za KISIASA kama wanasiasa hasa wa CCM. Amon CHAKUSHEMEILE as i know him is a Tanzanian and I'M READY TO PROVE THAT BEYOND ANY REASONABLE DOUBT!
Ruzibiza
Mbona matusi tena ndugu yangu.
Kuwa mnyarwanda siyo tusi na wala siyo jinai.
Jinai ni kuukana uraia wako, jinai ni kutaka kushiriki bunge katika nchi ya kigeni.
Kunitukana mimi hakusaidii kitu.
Nimekwambia namfahamu sana Chaku kuliko wewe labda kama wewe ndiye Chaku mwenyewe anayejibizana nami. Hapa Bushangaro, Karagwe siyo kwenu. "Kwenu" ulisema ni Ngara. Rector wa Ntungamo Pre-seminary amefika mpaka kijiji ulichodai unazaliwa wakasema siyo kwenu bali ulikuja na wazazi kupalilia magumu na vibarua, wakakuacha na kurudi Rwanda. Ukalelewa na masista na baadaye kuingia seminary ya Katoke.
Kanisa lisingeweza kukuruhusu kuendelea na upadre ukiwa umedanganya kuhusu historia yako hata kama kanisa halina mipaka ya kisiasa. Unabishi nini wakati wazazi wako wameishafika kutoka Rwanda na kukutembelea mara mbili?
Leo unakana Unyarwanda, kesho ukipewa cheo na Kagame utakana Utanzania kama walivyofanya wenzako akina Patrick.