lutajangurwa
Senior Member
- Sep 21, 2019
- 126
- 172
Wamefanya nini hao?Hawa Jamaica bado wapo kwa sana. Hii ni jana tu. Kama siyo msichana wa sukani kushtuka, ningepoteza laki nne hivi hivi. TCRA bado wana homeworkView attachment 2369466View attachment 2369467
Screenshot ya kwanza, ni namba ambayo alitumia kutuma txt kwa mfanyakazi wa dukani. Alijitambulisha kama mke wangu. Alimuuliza maswali kuhusu mauzo na hali ya wateja. Mwisho alitaka kujua kuna cash kiasi gani.ndo wanatapelije?
Wameingia mitini. Swala nnalojiuliza, ilikuwaje namba ya tapeli, ionekane kwenye phonebook ya mfanyakazi wangu, kama Mama BOSS, wakati mke wangu hana namba hiyo?. Kwa ufupi, kwenye phonebook ya simu hiyo, Mama BOSS anaonekana kuwa na namba mbili. Ya tapeli na ya kwake halali. Ajabu!Sasa ndio wamefanyaje
KwakweliUtakuta watu kama hao nao wakitapeliwa na kuibiwa wanaumia na kulalamika na kulaani na kutukana.
Utakuta majambazi nao kwenye nyumba zao wameweka fensi milango na madirisha ya chuma
Hawa Jamaica bado wapo kwa sana. Hii ni jana tu. Kama siyo msichana wa dukani kushtuka, ningepoteza laki nne hivi hivi. TCRA bado wana homework
Kuna uwezekano huyo mtu anayewafanyia hua mchezo anawafaham vizuri kabisa ,Wameingia mitini. Swala nnalojiuliza, ilikuwaje namba ya tapeli, ionekane kwenye phonebook ya mfanyakazi wangu, kama Mama BOSS, wakati mke wangu hana namba hiyo?. Kwa ufupi, kwenye phonebook ya simu hiyo, Mama BOSS anaonekana kuwa na namba mbili. Ya tapeli na ya kwake halali. Ajabu!
Inawezekana mkuu. Asante kwa ushauriKuna uwezekano huyo mtu anayewafanyia hua mchezo anawafaham vizuri kabisa ,
IPO hivi kilichotokea hapo ni mtu kachukua simu ya huyo sijui dada wa kazi na kusave hayo majina na kutaka atumiwe pesa kua yeye ni boss kumbe ni boss fake
Aepuke kuwapa watu Simu yake hovyo hovyo
mkuu mwambie huyoo binti wako wa dukani aache kuwapa watu simu ovyoo maana inaonekana kuna mtu wa karibu sana ame fanya hilo jambo sio kwamba ni matapeli wa mbaliWameingia mitini. Swala nnalojiuliza, ilikuwaje namba ya tapeli, ionekane kwenye phonebook ya mfanyakazi wangu, kama Mama BOSS, wakati mke wangu hana namba hiyo?. Kwa ufupi, kwenye phonebook ya simu hiyo, Mama BOSS anaonekana kuwa na namba mbili. Ya tapeli na ya kwake halali. Ajabu!
Hatari. Kikulacho ki nguoni mwakomkuu mwambie huyoo binti wako wa dukani aache kuwapa watu simu ovyoo maana inaonekana kuna mtu wa karibu sana ame fanya hilo jambo sio kwamba ni matapeli wa mbali