Hata Lowasa bado ni mwaminifu sana kwa ccm, ndio maana kila siku anawahamasisha chadema waache harakati na kuiga siasa za ccmLike dissolve like. Kuteuliwa kwa Prof. Kitila kuwa Katibu sio kwa bahati mbaya. Nafasi ya ukatibu mkuu wa wizara ni nafasi ambayo uaminifu wako kwa chama tawala na ilani yake hautiliwi mashaka na mamlaka ya uteuzi. Hii inaonyesha kuwa Prof. Kitila ni kada kwelikweli wa CCM ambaye alikuwa vyama vya upinzani kimkakati. Hivyo kuna ukweli uliopitiliza kuwa ACT ni Part B ya chama tawala.
duniani kote siasa ni unafiki tu sio tz tu, hata Trump inasemekana alimtumia Putin kufika pale alipo leo.Wewe humfahamu Zitto Kabwe vizuri,atakunyenyekea pale anapohitaji kitu,akishakipata atakusumbua mno ili kurudisha heshima yake.Atakutumia na utamtumia pale anapokuwa na mslahi na wewe.Kama ccm itamhakikishia chama chake kukua basi yupo tayali kuwaangamiza wapinzani wote abaki yeye peke ake.
Kama pia akiona upinzani wenzake watamsaidia kukua kisiasa basi ataungana nao kwa hali na mali .Na usishangae 2020 akiungwa mkono na ccm na Cuf ya Lipumba ili apunguze kura kwa upinzani na hasa kula za dini ile atazipita vya kutosha.
Nachowashauri upinzani watafute platform moja ya kunadi sera zao.Waunde chama kimoja na waache uroho wamatumbo uyao iIi wawe na nguvu moja.Haiwezekani upinzani wanachukuliana wanachama kama ilivyotokea ukawa(chadema) kwa kumchukua Kafulila na kufikiri iliwafurahisha Nccr Mageuzi(Mbatia).Kwahiyo upinzani wawe makini hasa chadema nakila hatua wanazopiga.
Nahio ndio sasa kukubali kutumika pale nawewe unaponufaika maana siasa za Tz bila unafiki hazinogi.Ndio maana chadema walikubali kumtumia Lowasa ili waende ikulu,na JPM anawatumia cut(profesa)ili ajiimalishe kisiasa.Ni unafiki tu na kama huwezi unafiki siasa za Tz sio rafiki kwako.unahitaji kuwa mnafiki kama Nape,Lowasa,Mbowe,Magufuli,Mbatia,Lipumba,Lisu ili ule matunda ya nchi yako tamu Tz.
iko kwenye ilani yao? kwa ubunge, ukurugenzi wa shirika au uwenyekiti wa bodi sawa lakini sio ukatibu mkuu wa WizaraWw mleta posti ni nyumbu ulietukuka hivi ww ungechaguliwa ungeacha roho mbaya tu kuna ubaya gani magufuli kuchagua upinzani hebu taften sera mbadala instead ya kurukia mambo mapya mmekuwa kama mange bana
Mkuu lukindo,ZZK & Kitila ni watu wa Mtakatifu Petero. Inajulikana toka kitambo.Pale waliingia na gia ya chama kuongozwa na 'division zero' ili wajipenyeze na kukimaliza lakini sasa tunaelewa ni nani mwerevu zaidi. Japokuwa mission incomplete lakini jamaa wameona akalie position 'aliyostahili' mbali na maigizo.
Nilijiuliza sana pale Prof. Baregu alivyofukuzwa UDSM kwa sababu ya kujihusisha na siasa lakini huyu akaachwa tena akiwa active katika siasa huku mkono wa pili ukiibeba UDASA. Kama kawaida muda umetimiza wajibu wake wa kuwa rafiki wa ukweli ...japo njaa kama njaa inahusika zaidi!