Makampuni ya simu ya Tigo, Zantel na Voda walifungiwa kwa siku mbili, kwa sababu yaliweka vikundi vya muziki nje ya mabanda yao na kupiga muziki kwa sauti kubwa iliyo ondoa usikivu kwa washiriki wengine, walipewa onyo kuondoa vikundi hivyo, na kufungiwa, Voda hawakuridhika, walifunga banda lao na kuondoka.