Siku zote najiuliza kuna nini kimeukumba uongozi wa Chadema wilaya ya Temeke; hawafanyi mikutano, huwa wanaonekana wakati wa chaguzi tu. Wamesahau mwaka huu kuna kupiga jalamba uchaguzi wa serikali za mitaa na mwakani uchaguzi mkuu!
Iwapo Chadema inataka kuchukua viti vya uongozi ngazi ya mitaa na udiwani wilayani Temeke, sasa ni kipindi muafaka kujieneza maeneo yote ndani ya Manispaa ya Temeke. AMKENI VIONGOZI, hata ofisi yenu iliyoko mkabala na Kisuma Bar, Mwembe Yanga huwa haifunguliwi KULIKONI???
Iwapo Chadema inataka kuchukua viti vya uongozi ngazi ya mitaa na udiwani wilayani Temeke, sasa ni kipindi muafaka kujieneza maeneo yote ndani ya Manispaa ya Temeke. AMKENI VIONGOZI, hata ofisi yenu iliyoko mkabala na Kisuma Bar, Mwembe Yanga huwa haifunguliwi KULIKONI???