Kulikoni ITV hamuitangazi Startimes?

Majala Kimolo

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2007
Posts
342
Reaction score
39
Nimeangalia tangazo la ITV linaloelezea upatikanaji wake kwenye ving'amuzi mbalimbali na Satelite. Lakini nimestaajabu hawakuitaja Startimes. Najiuliza iwapo ni technical error au imekusudiwa? Je, kuna bifu au ndo kuchokana. Mwenye habari kamili atujuze
 

Star times wanakera sana hata wasipotajwa na itv hakuna jipya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…