kula sana wakati wa ujauzito

lasix

JF-Expert Member
Mar 13, 2011
483
298
habari wakuu,
nina tatizo linanisumbua nimeona niliweke hapa jamvini mnisaidie.nina ujauzito wa wiki 10 sasa,tatizonililo nalo ni kusikia njaa kupita kiasi kila wakati.yaani nakula sasa ivi ikipita nusu saa ni njaa ya ajabu km sijala siku nzima,na huwa inaniletea kichefuchefu na kizunguzungu nisipopata chakula mda huo..nina wasiwasi na kiasi cha chakula nachokula kwa siku kwani najiona nagain weight fasta.Nisaidieni je kuna watu wanaopata tatizo km langu???na je litaisha lini??maana hata usiku lazma niamke mara 2 nitafute msosi,inanikera sana.
Asanteni kwa mawazo yenu
 
kula bidada kwa afy yako na ya mtoto tena kula vitu vitakavyokufaa kiafya.... wala usianche mimi nilkua nakula hadi nikawa najiogopa! lol
 
kula bidada kwa afy yako na ya mtoto tena kula vitu vitakavyokufaa kiafya.... wala usianche mimi nilkua nakula hadi nikawa najiogopa! lol
<br />
Yani nisipokuwa na chakula standby naweza kudondoka.acha tu,nilitaka kujua km itaisha au ndo utaendelea hadi kpnd cha kujifungua??<br />
 
Ili usiongezeke sana na bado uridhishe tumbo lako badala ya kula chakula (wali, ugali,viazi, nyama,uji n.k) muda wote tafuta mboga mboga na matunda unayotamani kwa sasa uwe unakula katikati ya milo yako mikubwa!!!Hii itasaidia kukuongezea virutubisho bila kukunenepesha!!!
 
mamii jiangalie sana kipindi hiki sio cha kufanya diet usijeleta mamtatizo ktk mwili wako! kama unatapika waone maktari lkn kama unakula na vinaenda we kula tu! ndo mimba zilivyo kila mtu inakuja na tabia yake!! la msingi uwe na afya bora mambo ya kukata weight ni baadaye sana !! tembelea website ya babycentre.com huko kaji-register then utakuwa unapata daily updates za mimba yako na mabadiliko yote yanayotokea utayakuta huko!! Othewise nakutakia afya njema na ulee vyema hilo tumbo!! coz mimi na-enjoy sana kipindi za ujauzito si wengine!! hadi natamani nikubebee lkn wewe ulee tu!! but now natamani mimba ya mapacha sijui mnasemaje wadau kwa kuna dawa hata kama sijawahi kuwa na pacha ktk ukoo wetu
 
habari wakuu,
nina tatizo linanisumbua nimeona niliweke hapa jamvini mnisaidie.nina ujauzito wa wiki 10 sasa,tatizonililo nalo ni kusikia njaa kupita kiasi kila wakati.yaani nakula sasa ivi ikipita nusu saa ni njaa ya ajabu km sijala siku nzima,na huwa inaniletea kichefuchefu na kizunguzungu nisipopata chakula mda huo..nina wasiwasi na kiasi cha chakula nachokula kwa siku kwani najiona nagain weight fasta.Nisaidieni je kuna watu wanaopata tatizo km langu???na je litaisha lini??maana hata usiku lazma niamke mara 2 nitafute msosi,inanikera sana.
Asanteni kwa mawazo yenu

My wife has the same condition and she is feeling the same!!!
 
Back
Top Bottom