RWANDES
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,620
- 3,936
Nongwa si kwa ajiri ya kutafta madaraka bali wanahitaji ujirekebishe pale unapokosea tembelea wananchi angalia matatizo waliyonayo hapo utajuwa kama unaupiga mwingi au hamna
Rais Dkt Samia ajue kuwa hao wanaomsifia asifikri kuwa ndio watakaompigia kura bali ni safu yake tu ambayo anaamini kuwa itamsaidia katika uchaguzi mkuu ili aweze kushinda kiti cha uraisi , binafsi ajue kwamba ni vizuri kuwekeza kwa wananchi kwa kuwafanyia kazi kuliko kufrahisha kikundi cha watu wachache akiamini kwamba kitampigania , hao hao wanaomwambia anaupiga mwingi hatiamini watakapofanya tathimini ya ushawishi alionao na kumwambia apumzike.
Dhana ya kuupiga mwingi aliangalie kwa mapana yake maana kwa haya yanayoendelea nchini hasa kipindi hiki ambacho mfumuko wa bei za bidhaa na miradi mingi shule n.k kutokamilika kwa wakati yote haya yatamletea doa kubwa kwenye jamii anayoiongoza.
Kiongozi mzuri ni yule anayefatilia na kusimamia wale anaowaongoza lakini ikitokea tu kila kitu watu wa chini yako waamue wenyewe huenda ukakumbana na fimbo kali kwa wananchi.Hazina kubwa wekeza kwa wananchi mheshimiwa raisi zaidi ya hapo unajidanganya kwa kutegemea kundi hilo.
Rais Dkt Samia ajue kuwa hao wanaomsifia asifikri kuwa ndio watakaompigia kura bali ni safu yake tu ambayo anaamini kuwa itamsaidia katika uchaguzi mkuu ili aweze kushinda kiti cha uraisi , binafsi ajue kwamba ni vizuri kuwekeza kwa wananchi kwa kuwafanyia kazi kuliko kufrahisha kikundi cha watu wachache akiamini kwamba kitampigania , hao hao wanaomwambia anaupiga mwingi hatiamini watakapofanya tathimini ya ushawishi alionao na kumwambia apumzike.
Dhana ya kuupiga mwingi aliangalie kwa mapana yake maana kwa haya yanayoendelea nchini hasa kipindi hiki ambacho mfumuko wa bei za bidhaa na miradi mingi shule n.k kutokamilika kwa wakati yote haya yatamletea doa kubwa kwenye jamii anayoiongoza.
Kiongozi mzuri ni yule anayefatilia na kusimamia wale anaowaongoza lakini ikitokea tu kila kitu watu wa chini yako waamue wenyewe huenda ukakumbana na fimbo kali kwa wananchi.Hazina kubwa wekeza kwa wananchi mheshimiwa raisi zaidi ya hapo unajidanganya kwa kutegemea kundi hilo.