pole sana mkuu ni ukosefu wa calcium, wape DCP au Di Calcium Phosphate kisha endelea kuwawekea mifupa kwenye chakula chao, umri huo wanakua na kuongezeka uzito haraka na mifupa mirefu kama ya miguu na shingoo inahitaji calcium kwa wingi ndio wanapolemaa. Hiyo maabara gani jamani, anza na DCP kisha endelea kuwaongezea mifupa kwenye chakula chao.