jiwekuu770
JF-Expert Member
- Feb 12, 2015
- 2,246
- 1,646
Wauzaji wa kuku wa nyama kwa bei nzuri rejareja na jumla jumla
Mahali Iringa
Eneo kihesa
Ukitaka niambie tufanye biashara
Mahali Iringa
Eneo kihesa
Ukitaka niambie tufanye biashara
Kilo 4 na nusu wengine kilo tanoEh haya matangazo yenu ya biashara bana. . Sasa bei nzuri ndio nini? Hao kuku uzito wastani kilo ngapi kwa mmoja?
Taja bei ndugu una dema dema niniKilo 4 na nusu wengine kilo tano
Weka pichaWauzaji wa kuku wa nyama kwa bei nzuri rejareja na jumla jumla
Mahali Iringa
Eneo kihesa
Ukitaka niambie tufanye biashara
mkuu naomba tuwasiliane nahitaji mayai kutoka iringa, nadhani tunaweza fanya biashara maana uko huko.Wauzaji wa kuku wa nyama kwa bei nzuri rejareja na jumla jumla
Mahali Iringa
Eneo kihesa
Ukitaka niambie tufanye biashara