Kampuni ya Backyard ni wazalishaji bora wa kuku wa kienyeji na chotara hapa nchini. tunao kuku wazuri wenye record nzuri ya utagaji pia na uzito wa juu ndani ya muda mfupi.
kuku wetu ni mchanganyiko wa Black australorps, wanao taga wastani wa mayai 309 kwa mwaka kwa uzao wa kwanza, na wastani wa mayai 233 kwa uzao wa pili kwa mwaka. Kuku hawa hufikia uzito wa kilo 4.2 kwa majogoo na kilo 3.2 kwa matetea.
pia tunao Rhode isla<script id="gpt-impl-0.9691506875678897" src="http://partner.googleadservices.com/gpt/pubads_impl_75.js"></script>nd red, wenye manyoya mekundu kuelekea rangi ya kahawia. kuku hawa hutaga wastani wa mayai 292 kwa mwaka na hifukia kilo 3.9 kwa majogoo na kilo 3 kwa matetea.
tuna aina ya sussex pia, the aseel, kenbro pamoja na naked neck chicks. kuku wetu ni kwaajili ya mbegu, nyama na utagaji wa mayai.
Kuku wa kienyeji aina ya Sasso wataanza kupatikana hivi punde. hawa hufikia kilo 4 ndani ya siku 80 tu. wengi huwaita ni broiler wa kienyeji.
tunapatikana Tegeta Bahari beach. pia tunakaribisha mawakala nchi nzima.
mawasiliano :0755815174
Kampuni ya Backyard ni wazalishaji bora wa kuku wa kienyeji na chotara hapa nchini. tunao kuku wazuri wenye record nzuri ya utagaji pia na uzito wa juu ndani ya muda mfupi.
kuku wetu ni mchanganyiko wa Black australorps, wanao taga wastani wa mayai 309 kwa mwaka kwa uzao wa kwanza, na wastani wa mayai 233 kwa uzao wa pili kwa mwaka. Kuku hawa hufikia uzito wa kilo 4.2 kwa majogoo na kilo 3.2 kwa matetea.
pia tunao Rhode island red, wenye manyoya mekundu kuelekea rangi ya kahawia. kuku hawa hutaga wastani wa mayai 292 kwa mwaka na hifukia kilo 3.9 kwa majogoo na kilo 3 kwa matetea.
tuna aina ya sussex pia, the aseel, kenbro pamoja na naked neck chicks. kuku wetu ni kwaajili ya mbegu, nyama na utagaji wa mayai.
Gharama za vifaranga hivi ni shilingi 180,000 kwa box la vifaranga 100. Hivyo wastani wa shilingi 1800 kwa kila kifaranga.
Kwa wateja wa mikoani tutatuma mzigo mpaka wilaya uliyopo kwa gharama za mteja mwenyewe.
Kuku wa kienyeji aina ya Sasso wataanza kupatikana hivi punde. hawa hufikia kilo 4 ndani ya siku 80 tu. wengi huwaita ni broiler wa kienyeji.
tunapatikana Tegeta Bahari beach. pia tunakaribisha mawakala nchi nzima.
mawasiliano :0755815174
Je naweza pata vifaranga vijike tupu(100)
wanakula chakula gani?
Matunzo yao yakoje?
kwa umri wa hao vifaranga wanachukua siku ngap hadi kufikia mda wa kuanza kutaga??? na matunzo yao wanahitaji lile joto la taa za bulb??
Pia tutafute kupitia 0789138968 (baada ya saa 11 jioni) ama 0742518698 (wakati wowote) ama 0758040452 (ama wakati wowote) kuku chotara malawi; pure kienyeji; kuroiler kwa Arusha - Usa River
Vipi mkubwa bado upo kwenye hii biashara?Bei ni 180000 kwa box la vifaranga 100.