Kukojoa faini 50000 mjini Morogoro

Kukojoa faini 50000 mjini Morogoro

allan mongi jr

New Member
Joined
Aug 7, 2013
Posts
3
Reaction score
0
ni uamuz wa manispaa ya morogoro ktk kile wanachodai kuweka mji safi,mwananchi anaekutwa anakojoa mjin morogoro analazima kulipa Tsh 50 elfu kama faini,sasa cha kusikitsha stendi ya vihiace na soko kuu la mji kunanuka maj machafu ya mitaro na ushuru unakusanywa kila cku,kuna maelezo mengine zaidi ya uonevu na ufisadi kwa hili?
 
Back
Top Bottom